Hivi ni nani mshauri wa Mbowe na Dr Slaa..?

Hivi ni nani mshauri wa Mbowe na Dr Slaa..?

Naendelea kuwafunza Siasa, ikiwa tu mpo tayari kujifunza.

Mama kila unapoweka uzi wako huwa napigwa ban kutokana na kujibu pumba zako. Leo nimenyamaza baada ya kukudharau. Naona umefauta mbinu ya kufufuka baada ya kutemwa na CCM usijari mama we rejea tu CHADEMA chama ukipendacho
 
nikweli kabisa na hii yoote inatokana na washauri makini kukikacha chama mfano Dr kitila mkumbo nadhani watamkumbuka sana
 
Naendelea kuwafunza Siasa, ikiwa tu mpo tayari kujifunza.
Kwa nini unaongelea maendeleo ya CDM wakati umehamia CCM??
Ni vema ukajikita na washauli wa CCM ili muendelee kukaa madarakani
Hata hivyo mawazo yako ni ya kinafiki kwa kuwa kama CDM ni dhaifu basi hao waliokutuma wasingefanya hivyo kukutuma hapa pia ingekuwa CDM ni dhaifu basi hao wasingekununua wewe kuhamia CCM ni kwa nini hawanunui watu wa vyama vingine??
 
Naendelea kuwafunza Siasa, ikiwa tu mpo tayari kujifunza.

Huyo muuza sura wenu na serikali imefilisikia mikononi mwake kukijaa ufisadi, wizi, madawa ya kulevya na zaidi ya yote umaskini uliokithiri ni nani mshauri wake. Dhaifu na legelege kakojoe ulale na usiamke milele.
 
Mama kila unapoweka uzi wako huwa napigwa ban kutokana na kujibu pumba zako. Leo nimenyamaza baada ya kukudharau. Naona umefauta mbinu ya kufufuka baada ya kutemwa na CCM usijari mama we rejea tu CHADEMA chama ukipendacho
Naona hii ni mbinu mpya ya ccm kutafutia watu ban.mods tunaomba samahani.
 
Nipo mahali salama kisiasa kuliko CHADEMA, sina haja ya kutangatanga. Nimefika sehemu ambayo mchango wangu unathaminiwa na kuheshimiwa.

Nimepokelewa kwa mikono miwili, nimefunzwa siasa na kuandaliwa njia ya mafanikio.

Naendelezwa kielimu, kwani katika siasa za Sasa watu wana-invest katika knowledge. Nyie mnatumika bure huko UFIPA huku sie tunaokwa kuwa viongozi bora wa baadae. Ni mjinga tu ambae hatjitambui ndie atatoka CCM na kujiunga na Chadema.

Ni kweli!!!!!
 

Attachments

  • untitled.png
    untitled.png
    18.3 KB · Views: 437
Bado anakipenda Chama kwa dhati na alichokizungumza hapo ni ukweli mtupu na msipobadilika kuwasaidia viongozi kuu kukirudisha CHADEMA kwenye mstari si tu akina Mbowe watalaumiwa bali hata nyinyi WanaCHADEMA mtalaumiwa kwa kuchangia Chama kupoteza mwelekeo.Umefika wakati sasa muwaambie viongozi wenu ukweli pale wanapokosea kwasababu wao sio malaika.Kuwatetea hata kwa makosa dhahiri wanayoyafanya na ni sawa na kuwaaminisha kuwa kila walifanyalo ni sahihi hata kama lina madhara makubwa ya kisiasa kwa Chama.
Vipi ule mgawa wa 144m wewe umepata ngapi tugawane, maana nina hali mbaya mfukoni.
 
Na wewe uwe na adabu mda mwingine usiwe kama kichaa akiona jalala tu anajua katajirika

Huyu mtoto ni nyoka nyie mpeni mda tu, kama aliweza kushawishika na kuanzisha chama ndani ya chama kwenu atashindwa fanya hivyo? Kuweni makini nae
Unaonaje ukianzisha thread ya kuelezea Unyoka wangu ukaacha hii watu wajadili mambo ya msingi. Kama hauna hoja sio dhambi kunyamaza na kuwaacha wengine wakichangia. Sio dhambi na posho yako utapata hapo ufipa kama kawa.
 
Naendelea kuwafunza Siasa, ikiwa tu mpo tayari kujifunza.

Nani alikuomba utoa mafunzo? wewe si ulikuwa makamu mwenyekiti wa BAVICHA ina maana ulikuwa hujui nani anamshauri Mwenyekiti na Katibu wako wa chama? Si ulikuwa unakaa nao high table?Kama ni hivyo ulivyo hawakukosea kukutimua!!

bavicha.jpg
 
Kila nikikoment nyuzi zako huwa napata ban, sijui wewe ni mod!
Ngoja leo nitulie tu.
 
Katika jambo ambalo haulijui ni kuwa tupo kwenye siasa ya vyama vingi. Hivyo imehalalishwa kwa vyama vya siasa kushindana ili mbabe atakayeshinda wenzake aweze kuongoza dola.

kulalamika kuwa CCM inauangamiza upinzani, ni sawa na CCM kulalamika Upinzani Unawamaliza. Ni ujinga uliopindukia kulaumu watu ambao wanapaswa wafanye unachokilalamikia ili waendelee kuwepo na wapate mafanikio.

Kama nyie mmeridhia kuwa fedha ya ruzuku ajikopeshe babu na nyingine achukue mbowe aende picnic Dubai mnategemea nini..?

Ni ujinga kuilaumu CCM kuwa inaua Upinzani, kwani huko ndiko kuimarika kwake.

Siwezi bishana na wewe sana, nina maandiko yako mengi sana ukiiponda ccm tena kwa maneno haya haya unayoyatumia leo kwa chadema

Ccm hawakukutana na wewe gizani bali mwangani, bila cdm makini usingekuwa hapo ulipo leo

Ccm isingeweza kukuona wewe bila kuiona chadema, ambacho leo ndiyo chama kikuu cha upinzani nchinu Tanzania

Ccm sio baba yako wala mama yako, mda wowote unaweza tupwa ama tolewa kafara

Siasa sio ugonvi bali ni sera na taratibu za kila chama kutaka kujipatia wafuasi wengi zaidi pamoja na umaarufu,leo bila chadema wewe usingemkumbatia hata rais wa nchi wala kula na kunywa na lile gaidi

Kinachoniuma mie ni hizi siasa zenu za kuua watu kisa mmezidiwa nguvu na vyama vya upinzani, sitakuja kukuamini wewe kwa njia yoyote ile maana wapo wenzako nao ambao walisema wakirudi ccm watalala na mama zao ila leo wako ccm tena na laana ya maneno yao wanaiona live inavyowatafuna

Kama unafanya haya yote kwa ajiri ya shibe sina tatizo na wewe maana njaa ni kitu kibaya sana lakini bora njaa ya tumbo kuliko njaa ya akili
 
[JFMP3][/JFMP3]
Yaani kweri shonza ndio wa kuitakia mema chadema?

ni kweli anaitakia heri CHADEMA kwa kuwa ameshagundua aliko siko na atajizika kisiasa kama mahabusu wenzake aliowakuta akina TAMBWE HIZA, MASUMBUKO LAMWAI, MSABAHA mzee wa kutekwa .n.k. na nasikia wamemweleza laivu kuwa ukiwa huku siasa ndo kwa heri ,usitegemee kuchaguliwa makam mwenyekiti au mwenyekiti wa UVCCM nafasi ni za wenye chama na chama kina wenyewe akifa mzazi mtoto anarithi. Akistaafu mama au bana mtoto anarithi hapo ameshindwa kuvumilia anataka kufanya uamuzi kwa hiyo anasafisha njia kwanza ya kurudi nyumbani.
 
unaonaje ukianzisha thread ya kuelezea unyoka wangu ukaacha hii watu wajadili mambo ya msingi. Kama hauna hoja sio dhambi kunyamaza na kuwaacha wengine wakichangia. Sio dhambi na posho yako utapata hapo ufipa kama kawa.

sikia wewe nyoka,mapenzi yetu kwa chadema sio ya kulipwa kama mnavyolipwa nyie hapo lumumba, hiki chama kinapata watu wengi hasa wanaoumizwa na utawala wa kisultan huu:

Wacha nikupe space upumue
 
Kabinti naona kamechoka kimwili na kiakili. Hoja ya kutaka viongozi wakuu wawe na washauri wazuri alipaswa kuipeleka huko huko kwao maana Mwenyekiti wao ndiye ambaye kila siku akivurunda wanakuja na majibu "eti amepotoshwa na wasaidizi wake au washauri" sasa huwa hajasikia hizo kauli akatoa huu ushauri kwake?
kila hoja wanazokuja nazo hawa masalia hapa JF zina back fire kwa vile hawana uwezo wa kufanya research kabla ya kuandika. Wanachofanya ni kuandika na kwenda kuripoti Lumumba kuwa nimeanzisha mada JF ili kama kuna chochote basi wakumbukwe.
Ila pamoja na udhaifu na ufinyu wa fikra wa viongozi wa huko dalili zinaonyesha hawa vijana walio wanunua baada ya KUFUKUZWA nao wamewachoka ndio maana zile safari nyingi ambazo walikuwa wanawasimamisha majukwaani naona zimesitishwa kwa kugundua kuwa walilamba magarasha.
 
Juliana chadema inakufa kwa kasi, wakati CCM ilishakufa kitambo sana

kwa kifupi ulichosema ni branding power ya CDM ilikuwa inauza kuliko ukawa!!!! ila ndio hivyo tena.....akili ndogo kuvuta akili kubwa

na ushauri unaoutoa kwa CDM sioni mantiki yake wakati ulikuwa huko na sasa uko CCM, unamaanisha unataka CDM ibadilike na kuwa juu ya CCM?? au ni kuonyesha uzalendo kwa vyama vyoote vya siasa?? Mbowe , slaa, kikwete , unawajua vizuri akina maalim seif, lipumba, mbatia wote hawa wamebeba ule UAFRIKA HALISI na laana ile ile ya enzi

hawa wanasiasa hakuna msaada, hakuna msikivu, hakuna anayejali, hakuna anayefikiri next 50 yrs wajukuu zetu itakuwaje, wanauza mpaka panya wa nchi hii!! hawaachi kitu..

Leo ukimuuliza slaa au mbowe kitu kidogo cha kutatua matatizo ya watanzania watakueleza mpaka washike nchi!!! upinzani ni comedy, na waliokuwa at least influentials ( na wanaowaza nje ya box) ndio hao wanafukuzwa kama mbwa.

watanzania kwa ujumla wake ni mizigo kila idara, madudu ya mbowe, slaa, kikwete ndio hayo hayo yanafanyika makanisani, kwa familia, kwenye vyuo, mashirika ya umma n.k ndio tulivyo

hatuheshimu, elimu, kazi, productions, na tunaishi maisha ya kuigiza wakati ki ukweli tunaishi miaka ya 1500 AD wenzetu dunia ya kwanza ndio wako 2014...aibu

hawa hawa CCM na CDM na wenzao 'wale' wakakusanyana dodoma kama mambuzi fulani hivi yanajadili serikali mbili au tatu-(mipum.ba.vu) as if watanzania leo priority yetu ni serikali mbili na serikali tatu!!!!!! kwa mjadala huo UKAWA ikazaliwa Ikawa

Eti matatizo ya mashuleni, barabara, hospitalini , n.k tunawaza S2 au S3??? i thought it was high time kwa CDM ku divert mjadala na wakapata support ya wananchi.........wakaangua shimo lile lile la merehemu CCM,-uroho wa madaraka

Juliana, piga kazi, ANZA KUBADILIKA NA WEWE, SHAWISHI WANAOKUZUNGUKA kwanza -siasa za Tanzania, kichefuchefu zipo tu na mnapiga hela ndefu kwenye kampeni na ndizo hizo mnazipata kupitia ESCROW..............na njia hizo zingine

kwa tuliopevuka-wenye matured mind, anayejiita mwanasiasa ni mwongo, muuaji, mnafiki, mwizi, wako wachache identifiable human ambao wanakwepa NA HAWANA tabia hizo, ila tunawapandikiza na kuwaaka rangi wafanane na sisi wachafu.......... system ina wa reject because they dont resemble/they are not compatible............muulize Salim A. Salim, Zitto na mimi- tutakusimulia

Inauma lakini ndio ukweli, ebu tuangalie upande mwingine CCM ikiongezwa herufi ya katikati inakuwa CDM na wapenzi hawa wanajuana vizuri kwa kila kitu. All jobless na desperate people waliotayari kuua, kutoa kucha za watu, kutunga uongo na uzushi wamo humu kwenye makundi haya ambayo HAYANA HURUMA YA KWELI YA KUMKOMBOA MTANZANIA

Please Juliana , usipoteze muda wako kuishauri CDM

I mean usipoteze muda wako kuishauri CCM pia

hawasikii hawa, walevi hawa, waroho hawa, wahuni-to be precise

Unless you are that ''identifiable human'
 
Juliana chadema inakufa kwa kasi, wakati CCM ilishakufa kitambo sana

kwa kifupi ulichosema ni branding power ya CDM ilikuwa inauza kuliko ukawa!!!! ila ndio hivyo tena.....akili ndogo kuvuta akili kubwa

na ushauri unaoutoa kwa CDM sioni mantiki yake wakati ulikuwa huko na sasa uko CCM, unamaanisha unataka CDM ibadilike na kuwa juu ya CCM?? au ni kuonyesha uzalendo kwa vyama vyoote vya siasa?? Mbowe , slaa, kikwete , unawajua vizuri akina maalim seif, lipumba, mbatia wote hawa wamebeba ule UAFRIKA HALISI na laana ile ile ya enzi

hawa wanasiasa hakuna msaada, hakuna msikivu, hakuna anayejali, hakuna anayefikiri next 50 yrs wajukuu zetu itakuwaje, wanauza mpaka panya wa nchi hii!! hawaachi kitu..

Leo ukimuuliza slaa au mbowe kitu kidogo cha kutatua matatizo ya watanzania watakueleza mpaka washike nchi!!! upinzani ni comedy, na waliokuwa at least influentials ( na wanaowaza nje ya box) ndio hao wanafukuzwa kama mbwa.

watanzania kwa ujumla wake ni mizigo kila idara, madudu ya mbowe, slaa, kikwete ndio hayo hayo yanafanyika makanisani, kwa familia, kwenye vyuo, mashirika ya umma n.k ndio tulivyo

hatuheshimu, elimu, kazi, productions, na tunaishi maisha ya kuigiza wakati ki ukweli tunaishi miaka ya 1500 AD wenzetu dunia ya kwanza ndio wako 2014...aibu

hawa hawa CCM na CDM na wenzao 'wale' wakakusanyana dodoma kama mambuzi fulani hivi yanajadili serikali mbili au tatu-(mipum.ba.vu) as if watanzania leo priority yetu ni serikali mbili na serikali tatu!!!!!! kwa mjadala huo UKAWA ikazaliwa Ikawa

Eti matatizo ya mashuleni, barabara, hospitalini , n.k tunawaza S2 au S3??? i thought it was high time kwa CDM ku divert mjadala na wakapata support ya wananchi.........wakaangua shimo lile lile la merehemu CCM,-uroho wa madaraka

Juliana, piga kazi, ANZA KUBADILIKA NA WEWE, SHAWISHI WANAOKUZUNGUKA kwanza -siasa za Tanzania, kichefuchefu zipo tu na mnapiga hela ndefu kwenye kampeni na ndizo hizo mnazipata kupitia ESCROW..............na njia hizo zingine

kwa tuliopevuka-wenye matured mind, anayejiita mwanasiasa ni mwongo, muuaji, mnafiki, mwizi, wako wachache identifiable human ambao wanakwepa NA HAWANA tabia hizo, ila tunawapandikiza na kuwaaka rangi wafanane na sisi wachafu.......... system ina wa reject because they dont resemble/they are not compatible............muulize Salim A. Salim, Zitto na mimi- tutakusimulia

Inauma lakini ndio ukweli, ebu tuangalie upande mwingine CCM ikiongezwa herufi ya katikati inakuwa CDM na wapenzi hawa wanajuana vizuri kwa kila kitu. All jobless na desperate people waliotayari kuua, kutoa kucha za watu, kutunga uongo na uzushi wamo humu kwenye makundi haya ambayo HAYANA HURUMA YA KWELI YA KUMKOMBOA MTANZANIA

Please Juliana , usipoteze muda wako kuishauri CDM

I mean usipoteze muda wako kuishauri CCM pia

hawasikii hawa, walevi hawa, waroho hawa, wahuni-to be precise

Unless you are that ''identifiable human'

Waberoya,

Juliana hana uwezo wa kumshauri mtu awaye yeyote hivyo ushauri wako ni void. Na kuhusu muda, Juliana ana muda wote katika ulimwengu huu kwa sababu tokea amalize kabachelor kake ka elimu, kutokana na ufaulu wake hafifu hajafanikiwa kupata ajira mpaka leo. Usihofu kuhusu muda kabisa, ndio maana anakesha jamii forums. Hana maisha, hana hela na Nchemba keshamzeesha kamuacha.
 
For the first time I have to agree with you Juliana,Kweli unaonyesha bado una mapenzi na CHADEMA.Nikiwa kama Organizational analyst maelezo yako yamegusa kwenye kiini hasa yaani CHADEMA kuwategemea mno sheep followers and abandoning independent & critical followers.Kwa mwenye kukitakia mema Chama atakuunga mkono
Nami kwa mara ya kwanza nikupe pongezi kwa kuuona ukweli na kuukubali. Vijana lazima mubadilike muache kuwa watu wa NDIO MZEE.
 
THINK TANK nadhani ni kitengo ambacho watendaji wake ni waajiriwa, kwa nini wewe usiombe hiyo kazi.

Think Tank awe Juliana!!? Acheni utani bwana.................. unless tunataka miaka mingine 50 ya Maendeleo bila maendeleo!!
 
Back
Top Bottom