DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,892
- 47,866
mkuu pambana kitaa kigumu bila mishe mm takriban nina mwaka sas toka nmezinguana na muajiri wangu hizi milion nimekamata san lkn leo ht 10k ni kwa mbinde san na nina mke na mtoto mmoja inafika kipind naamua kubet tu kukuza mtaji ndio nipate hela ya kula.
Shukuru kwa unachokipata kiwe kidg au kikubwa kuna watu tunatafuta ht sehem ya kujishikiza lkn bado hapa nilipo sijala toka jan usiku na hapa nmelala tayar bahati nzur familia nimeisafirisha ili niendelee kujitafuta
SHUKURU MUNGU KWA YOTE
Huu ndo ulibidi uwe Uzi na Uzi uwe comment .
Very sorry Brother , hope you shall overcome.