Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 330
- 1,060
Hii imekaaje.
Watu uliopambana nao kutafuta kazi leo wana kazi nzuri Maisha mazuri wewe unajitafuta bado.
Uliowaacha sekondari au shule ya msingi wakiwa vilaza leo wana maisha mazuri wamepiga hatua ya kujenga na kuendesha magari Makali wewe bado unajitafuta.
Mwanamke aliyekuacha wakati hauna Maisha na akikuambia hauna hela ana Maisha mazuri wala hauna lolote la kumlinganishia tena.
Karibia kila kijana mwenzako unayemuona kuanzia social media na maisha ya kawaida ametoboa sana na ana kila kitu.
Kasoro mimi tu ?
Unajiuliza na kwama wapi?
Na kama tukisema wakati wa Mungu je kwangu mimi utafika lini.
Kusali nasali na mshirika active kabisa.
Biashara umejaribu zimefeli.
Sijui Kazi hakuna barua mahali haujapeleka ,huko utumisbi dodoma mpaka umepazoea.
Wakuu naombeni nipate utajiri kwa Bali yeyote ile kama ni Ufreemason au hata uchawi na mimi mnipe?
Watu uliopambana nao kutafuta kazi leo wana kazi nzuri Maisha mazuri wewe unajitafuta bado.
Uliowaacha sekondari au shule ya msingi wakiwa vilaza leo wana maisha mazuri wamepiga hatua ya kujenga na kuendesha magari Makali wewe bado unajitafuta.
Mwanamke aliyekuacha wakati hauna Maisha na akikuambia hauna hela ana Maisha mazuri wala hauna lolote la kumlinganishia tena.
Karibia kila kijana mwenzako unayemuona kuanzia social media na maisha ya kawaida ametoboa sana na ana kila kitu.
Kasoro mimi tu ?
Unajiuliza na kwama wapi?
Na kama tukisema wakati wa Mungu je kwangu mimi utafika lini.
Kusali nasali na mshirika active kabisa.
Biashara umejaribu zimefeli.
Sijui Kazi hakuna barua mahali haujapeleka ,huko utumisbi dodoma mpaka umepazoea.
Wakuu naombeni nipate utajiri kwa Bali yeyote ile kama ni Ufreemason au hata uchawi na mimi mnipe?