Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
kwani Tanzania kuna watu wameandaliwa kuwa marais na waliondaliwa kuwa washangiliaji tu? Je ikiwa rais hawezi hawezi kuleta hicho unachotaka akifate the Hague?Ameulizwa ataenda the heague akasema kesi hiyo haiendi the heague kisheria, wakati kesi ya uhalifu dhidi ya binadamu zinasikilizwa the heague. Ndo mjue lisu shida yake sio haki za binadam bali urais tu
Sent using Jamii Forums mobile app