Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Waulize watu wa Ruvu na Bagamoyo..viroba vilikuwa vya kumwaga...Mwigulu akadai wahamiaji haramu..Leo yamemfika anaomba watu wamuombee...nasema nitamuombea punda aliyemgongaMauaji ya watu 400 haiwezi kuwa siri