JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
CCM imeingilia kivipi vyombo vya uchunguzi
..sasa kwanini uchunguzi haufanyiki kubaini wananchi hao wamepotea vipi.
..Mbunge ametoa ushahidi wa wananchi wake kuuwawa wakiwa MSIKITINI.
..Je, ni haki Polisi kuua ktk nyumba za ibada?