Hivi ni kweli kuna ushirikina au laana katika mambo ya mapenz?

Hivi ni kweli kuna ushirikina au laana katika mambo ya mapenz?

Mhhh point ya ubuzy inaweza kuwa point kwa mahusiano ambayo hayadumu ila kwa kukataliwa kabla je?

Mtu hajawai kuliliwa na mwanamke???
Kuna wanaume wanapenda kujisikia sana na wana dharau kisa wana hela na wazuri the same applied to girls......maybe your friends wana pride because they do believe kwa jinsi walivo basi lazima wasichana watawalilia na kuwabembeleza kuwa nao!!! Hapo ndo wanapokosea inabidi wawe kawaida na waoneshe mapenzi ya dhati sometimes sisi wadada tunahitaji care(sio lazima iwe pesa) hata muda wa kukaa na mtu wako mkaongea na kucheka(not sex) ila wengine hawana hichi kitu
 
Kuna wanaume wanapenda kujisikia sana na wana dharau kisa wana hela na wazuri the same applied to girls......maybe your friends wana pride because they do believe kwa jinsi walivo basi lazima wasichana watawalilia na kuwabembeleza kuwa nao!!! Hapo ndo wanapokosea inabidi wawe kawaida na waoneshe mapenzi ya dhati sometimes sisi wadada tunahitaji care(sio lazima iwe pesa) hata muda wa kukaa na mtu wako mkaongea na kucheka(not sex) ila wengine hawana hichi kitu
Hivi imagine mko watu wa nne mnaenda somewhere manaproach wadada kwa kampani mnakubaliwa yy anakataliwa hiyo nini?

Au anamtongoza binti anamkataa Kwa kisingizio cha kuwa na mahusiano mengine ila unamtokea binti huyohuyo anakukubali kuna nini?
 
Hivi imagine mko watu wa nne mnaenda somewhere manaproach wadada kwa kampani mnakubaliwa yy anakataliwa hiyo nini?

Au anamtongoza binti anamkataa Kwa kisingizio cha kuwa na mahusiano mengine ila unamtokea binti huyohuyo anakukubali kuna nini?
Huyo mdada atakuwa na inferiority complex kutokana na status ya huyo mkaka........
 
Jifunze kuachana vizuri na kwa amani na mpenzi uliekuwa nae lah! Sivyo! Anything can happen
 
Tatizo ni nini?
Ndo hayo niliyokuelezea......pia kuna mengine yapo kama kuna wasichana sio wavumilivu kwenye mahusiano (i used to be one of them), sa ingine unakuta tuna mambo mengi so tunahitaji kuwa wenyewe tufanye mambo yetu (same here nilikuwa na hiyo tabia),wengine walishaumizwa sana huko nyuma so hawawezi kumuamini mwanaume kirahisi na wanaamua kuwa wenyewe mpaka muda ambao wamejiwekea kuanza tena mahusiano au huyo mtu sio type yake.....sababu zipo nyingi sana
 
Ndo hata mdangaji anakugomea kunywa wote bia
Mmmmmhhh maybe hajakutana na bahati yake! Mwambie amuombe Mungu tu ipo siku

Mimi nilishawahi kuwa hivo mpaka rafiki zangu wakawa hawaniamini kama sina boyfriend mpaka nikaja humu kutafuta boyfriend and it was last year.......nilikuwa sidumu kwenye mahusiano ikazidi mwezi ila niligundua nini ni tatizo

Wala wasijali hiyo ni kawaida na itaisha
 
Ishu ya kutosimamisha kuna jamaa aliwahi fanyiwa na mkewe so ipo kabisa! Pia ni kweli kuna watu wana bahati na mademu, kila akigusa ananasa na wengine hawana bahati kabisa. But ukifuatilia utakuta anakosea steps za ku-approach, unadhifu wake hauridhishi, hana kuvumilia, hajiamini mbele ya mdada nk

Sent from my using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom