Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,968
- 3,320
Nimefikiria kwa kina taaruki ya NIDA kutofanikisha waliojiandikisha kupata namba zao hadi sasa. Nimefikiria kwa kina vyuo vyote vya IT tulivyonavyo. Nimefikiria uwezo wa kiuchumi wa Tanzania. Nimefikiria uwezo wa kiuongozi na kiutawala tulionao.
Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa. Nimefikiria makampun ya mtandao yanayofanyakazi nchini. Hivi kweli vichwa vyote hivi vimekaa na suti zao na kufikiri kwa weredi wote na bado ikathibitika hivi kwamba hawana uwezo wa mtu kupata No yake ya NIDA kwa njia ya mtandao?
Yaani nikiona watu walivo smart kwa nguo na haiba za usomi nafikiria ..KWELI NDO HAWA! Serikali imeamua kuamin iliajiri vilaza wa IT kias hiki kweli? Maana hakuna njia hata moja inafanyakazi kwa ufanis hadi leo. Ni her hata wasingeweka njia hizo.
Yani hata namba za kupiga uwezo wao ni kutopokelewa milele! Tunakwama wapi? Basi tuazime hata akili kwa muda nchi yoyote , hao wale tu mshahara mana serkali haina wa kumtupia huo mzigo wake.
Nimefikiria taaruki ilivyo hadi sasa. Nimefikiria makampun ya mtandao yanayofanyakazi nchini. Hivi kweli vichwa vyote hivi vimekaa na suti zao na kufikiri kwa weredi wote na bado ikathibitika hivi kwamba hawana uwezo wa mtu kupata No yake ya NIDA kwa njia ya mtandao?
Yaani nikiona watu walivo smart kwa nguo na haiba za usomi nafikiria ..KWELI NDO HAWA! Serikali imeamua kuamin iliajiri vilaza wa IT kias hiki kweli? Maana hakuna njia hata moja inafanyakazi kwa ufanis hadi leo. Ni her hata wasingeweka njia hizo.
Yani hata namba za kupiga uwezo wao ni kutopokelewa milele! Tunakwama wapi? Basi tuazime hata akili kwa muda nchi yoyote , hao wale tu mshahara mana serkali haina wa kumtupia huo mzigo wake.