Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 644
Nlikua nacheki kipindi kimoja apa kwenye televisheni, daktari mmoja wa uingereza alikua anaeleza kuwa bado mpk sasa wanasayansi hawajaweza kuja na dawa ya kuongeza ukubwa wa dushelele.
Ila uku kwetu bongo naona matangazo kibao ya uwepo wa dawa izo. Ivi ni kweli zipo? Kama zipo naombeni muongozo mi mwenyewe nahitaji😁
Ila uku kwetu bongo naona matangazo kibao ya uwepo wa dawa izo. Ivi ni kweli zipo? Kama zipo naombeni muongozo mi mwenyewe nahitaji😁