Hivi ni kweli kuwa uume unaweza kuongezeka ukubwa baada ya balehe kuisha?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
May 3, 2022
6,195
11,090
Makala nyingi huzungumzia kuwa ukomo wa ongezeko la uume ni baada ya kipindi kizima cha upevukaji wa mwanaume kutimia

Wataalamu wamekazia kwa kusema, ukubwa wa uume atakaokuwa nao mwanaume baada ya kufikisha miaka 20 ndio huo huo atakaokua nao, na hakuna namna anaweza fanya maboresho ili kuuongeza, wameongelea zaidi kuwa ukubwa wa uume unatokana na vinasaba (genes) anavyorithi mtu kutoka kwa mzazi

Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene

Hii imekaa vipi kitaalamu? Kama ni kweli kuwa ukubwa wa uume unagota mtu unapofikisha miaka 20

(a) Kwanini kipindi chote hicho cha kuanzia miaka 15 hadi 20 hakukuwepo ongezeko la uume wangu? Je, kuna namna naweza kuuambia mwili wangu ukanifidishia kipindi chote hicho ambacho ukuaji ulikuwa umezorota?

(b) Na kwanini ongezeko la ghafla la upana wa uume wangu lifanyike kinyume na muda uliopangwa kitaalamu wa "23 years"?

Sasa nina miaka 29, Je kuna uwezekano wa uume kuongezeka tena ukubwa? Au nihesabu maumivu?

(c) Weka experience yako i.e size ya uume wako ulivyokuwa teeneger, ililingana na size uliyokuwa nayo under 20+ yrs? Na ndiyo uliyokuwa nayo ukiwa under 30+?

(d) Na kama testesterone hormones zinachangia ongezeko la uume, artificial testesterone hormone injection kwa mtu mzima inaweza kuongeza ukubwa wa uume?

(e) Na vipi kuhusu haya madawa ya asili yanayotangazwa kwenye social media kuongeza ukubwa wa uume, yana connection ipi na misuli ya uume? Na kwanini yapingane na nature (genetics)?

Note: Sihusishwi na tatizo hili, ila nimelileta kwa ajili ya mjadala kama lilivyoulizwa na mfanyakazi mwenzangu

Summary,
Hivi inawezekana uume kuongezeka ukubwa baada ya kipindi cha balehe?
images.jpg
 
Kuna dawa ya kienyeji ipo ukitumia utapata matokeo mazuri sana tu, ila itakuchukua miaka miwili hadi mitatu bendera iweze kufuata upepo. Ukihitaji sema nikuelekeze.
Miaka mitatu mkuu? Je kama huyo rafiki yangu kabakiza miezi mitano ya kuishi je?
 
Kwanini unataka kuongeza size ya uume?

Unataka kumridhisha mke wako au ku boost ego yako wakati wa kufanya uhuni?

Kama ni kumridhisha mkeo, you are enough.

Kama ni kwaajili ya uhuni endelea kuteseka.

Mwenye rambo ana muwa wake, na mwenye kipisi cha sigara ana kifuniko chake cha speedo, acheni kujitesa for no reason.

Huku uume Huku mitako, matatizo ya karne ya 21!!!!
 
Kwanini unataka kuongeza size ya uume?

Unataka kumridhisha mke wako au ku boost ego yako wakati wa kufanya uhuni?

Kama ni kumridhisha mkeo, you are enough.

Kama ni kwaajili ya uhuni endelea kuteseka.

Mwenye rambo ana muwa wake, na mwenye kipisi cha sigara ana kifuniko chake cha speedo, acheni kujitesa for no reason.

Huku uume Huku mitako, matatizo ya karne ya 21!!!!
😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Makala nyingi huzungumzia kuwa ukomo wa ongezeko la uume ni baada ya kipindi kizima cha upevukaji wa mwanaume kutimia

Wataalamu wamekazia kwa kusema, ukubwa wa uume atakaokuwa nao mwanaume baada ya kufikisha miaka 20 ndio huo huo atakaokua nao, na hakuna namna anaweza fanya maboresho ili kuuongeza, wameongelea zaidi kuwa ukubwa wa uume unatokana na vinasaba (genes) anavyorithi mtu kutoka kwa mzazi

Kwa upande wangu mimi, urefu wa uume niliokuwa nao nikiwa na miaka 14 i.e (5.9 inch) ndio huo huo nilionao mpaka leo, kipindi hicho ulikuwa mwembamba, lakini nilipofikisha miaka 23, upana wa uume uliongezeka ghafla na kuufanya kuonekana mfupi na mnene

Hii imekaa vipi kitaalamu? Kama ni kweli kuwa ukubwa wa uume unagota mtu unapofikisha miaka 20

(a) Kwanini kipindi chote hicho cha kuanzia miaka 15 hadi 20 hakukuwepo ongezeko la uume wangu? Je, kuna namna naweza kuuambia mwili wangu ukanifidishia kipindi chote hicho ambacho ukuaji ulikuwa umezorota?

(b) Na kwanini ongezeko la ghafla la upana wa uume wangu lifanyike kinyume na muda uliopangwa kitaalamu wa "23 years"?

Sasa nina miaka 29, Je kuna uwezekano wa uume kuongezeka tena ukubwa? Au nihesabu maumivu?

(c) Weka experience yako i.e size ya uume wako ulivyokuwa teeneger, ililingana na size uliyokuwa nayo under 20+ yrs? Na ndiyo uliyokuwa nayo ukiwa under 30+?

(d) Na kama testesterone hormones zinachangia ongezeko la uume, artificial testesterone hormone injection kwa mtu mzima inaweza kuongeza ukubwa wa uume?

(e) Na vipi kuhusu haya madawa ya asili yanayotangazwa kwenye social media kuongeza ukubwa wa uume, yana connection ipi na misuli ya uume? Na kwanini yapingane na nature (genetics)?

Note: Sihusishwi na tatizo hili, ila nimelileta kwa ajili ya mjadala kama lilivyoulizwa na mfanyakazi mwenzangu

Summary,
Hivi inawezekana uume kuongezeka ukubwa baada ya kipindi cha balehe?
View attachment 2427798
Weka picha yako halisi Mkuu
 
Huyu jamaa anaonekana ana hili tatizo

Ukisoma story zake zote unagundua ni kitu kinachomtesa.

Kuna story alisema kuwa ana kibamia hivyo ikambidi atumie kiasi Cha Tsh 600,000 aweze kupona na ikafika urefu wa nchi 8/9

Kuna story tena akijizungumzia yeye kuwa ana kibamia
Kwa hiyo mkuu umeamua kuja kunisemelea hapa?
 
Zipo Njia salama za kuongeza urefu na unene wa uume wako kutoka hapo ulipo ,kwa kuvuta na kutanua muscles za uume kwa kutumia vifaa maalumu.
Screenshot_20221111-103403.png
 

Attachments

  • Screenshot_20221123-162840.png
    Screenshot_20221123-162840.png
    77.9 KB · Views: 106
Zipo Njia salama za kuongeza urefu na unene wa uume wako kutoka hapo ulipo ,kwa kuvuta na kutanua muscles za uume kwa kutumia vifaa maalumu.
View attachment 2427993
Je akiniuliza kinapatikana wapi na kwa bei ipi, na je hakina madhara kiafya? Nitamjibu vipi? Ungeweka hapa maelezo mkuu kwa manufaa ya vibamia watakaozaliwa miaka ijayo
 
Back
Top Bottom