Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Mtoto kanijibu basi tufanye hivyohivyo tu na condom atavumilia, so mwenzenu leo nauhakika wa kusuuza rungu nikitoka job
 
sasa si umuambie kuwa hutatumia hiyo condom.
Kizazi cha matoto mazinifu sana hiki
 
Na sio hivyo tu........pia zina washa na kuuma uma........condom hazina tofauti na chemicals zilizotumika kutengeneza bomu la scud...........

Weweeee wewe weee!!! Mwanamke we Maneno gani haya.Tunatishana matokeo tuanza kupiga mimba wake zetu bandika bandua.
 
Mhm!mpaka masika iishe tutayasikia mengi sana.
 
Back
Top Bottom