Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Nianze tu kuvaa condom, bora nisigonge kabsaa. pima babu, pimeni, hayo macondom hata usalama wake ni mdogo sanna.

kupima haisaaidii,mnaenda kupima wakati mmoja wenu kauza mechi juzi na akaukwaa ugonjwa hautaonekana.
 
Cndm ni kero sana tu,ila hatuna jinsi. Kwa hii dunia iliyojaa wehu ni bora hayo maumivu kuliko kuanz kutumia arv. Kama unatak kumridhisha mdada kwel kwel,cndm haifai,coz hawa dada zetu wana muda wao ambao lazm uujue,asa hii kitu inaisha hrk sana(depreciation),ndo mana inaboa. Ila ni bora uendelee kuganga nayo,kuliko kuishi kignja shavuni.
 
Jamani kuna msichana jirani yangu nimezoeana naye sana, sijawahi tongoza cause sikuwa na plan naye but nina namba yake so huwa nachat naye.

Kwenye chatting huwa kananitegatega mara oh njoo tulale,sasa leo kimvuamvua hiki kimenishawishi nimtolee uvivu, nimemuomba mzigo kupitia simu.

Nilivyomuomba akasema naogopa, nikamuuliza unaogopa nini? Akajibu mimba. Nikamuuliza kwani condom hazipo? Akasema condom zinaumiza. Nimemuuliza so inakuwaje? (bado hajanijibu).

Je ni kweli condom zinaumiza au anataka kunipa ngwengwe?


zinamuumiza roho maana lengo lake la kuwarestisha in peace wanaume linakuwa halijatimia
 
Cndm ni kero sana tu,ila hatuna jinsi. Kwa hii dunia iliyojaa wehu ni bora hayo maumivu kuliko kuanz kutumia arv. Kama unatak kumridhisha mdada kwel kwel,cndm haifai,coz hawa dada zetu wana muda wao ambao lazm uujue,asa hii kitu inaisha hrk sana(depreciation),ndo mana inaboa. Ila ni bora uendelee kuganga nayo,kuliko kuishi kignja shavuni.
hahahhahaha:biggrin::biggrin::biggrin: kuishi na viganja shavuni ni sooo...
 
palapanda italia palapanda,palapanda italia palapanda,utaimbiwa hivyo we kajilipue tu
 
I could have asked the same question coz most girls I met, complained kuhusu condom kuwasha

Ishakuwa kama mtindo halafu jinsi wanavyotuchanganyia michepuko nahisi watabaki majini na mashetani tu mwisho wa siku napita_tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom