Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Zinaumiza sana, tena kwa mfano mimi nikitumia, mpaka tumbo la chini linauma.
Ndio maana naamua niuze mechi tu.

Mi ndo nikitumia condom sikojoi ng'o, ntafumua papuchi mpaka basi, inshort inakata stimu
 
Jamani kuna msichana jirani yangu nimezoeana naye sana, sijawahi tongoza cause sikuwa na plan naye but nina namba yake so huwa nachat naye.

Kwenye chatting huwa kananitegatega mara oh njoo tulale,sasa leo kimvuamvua hiki kimenishawishi nimtolee uvivu, nimemuomba mzigo kupitia simu.

Nilivyomuomba akasema naogopa, nikamuuliza unaogopa nini? Akajibu mimba. Nikamuuliza kwani condom hazipo? Akasema condom zinaumiza. Nimemuuliza so inakuwaje? (bado hajanijibu).

Je ni kweli condom zinaumiza au anataka kunipa ngwengwe?

Yeye alijuaje kama zinaumiza? Atakuwa ni mzinzi kama wewe
 
Ndio sio kuumiza tuu na kuchubua zina chubua

Na sio hivyo tu........pia zina washa na kuuma uma........condom hazina tofauti na chemicals zilizotumika kutengeneza bomu la scud...........
 
Na sio hivyo tu........pia zina washa na kuuma uma........condom hazina tofauti na chemicals zilizotumika kutengeneza bomu la scud...........

Hahahaa eti bomu la scud ...
Yaani Preta una vituko sana..
...ila ni kweli tusizitumie mama bora tufe na mautamu yetu
 
co kuumiza tu!! mafuta yke pia husababsha muwasho mkali kwenye penis....
 
tatizo ukimwi umekaa pabaya, ila kondom inatutumikisha sana.. hasa mtu ukiwa umelewa round moja masaa matatu duuuui
 
Back
Top Bottom