Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,669
Jamani kuna msichana jirani yangu nimezoeana naye sana, sijawahi tongoza cause sikuwa na plan naye but nina namba yake so huwa nachat naye.

Kwenye chatting huwa kananitegatega mara oh njoo tulale,sasa leo kimvuamvua hiki kimenishawishi nimtolee uvivu, nimemuomba mzigo kupitia simu.

Nilivyomuomba akasema naogopa, nikamuuliza unaogopa nini? Akajibu mimba. Nikamuuliza kwani condom hazipo? Akasema condom zinaumiza. Nimemuuliza so inakuwaje? (bado hajanijibu).

Je ni kweli condom zinaumiza au anataka kunipa ngwengwe?
 
Ndio sio kuumiza tuu na kuchubua zina chubua
 
muwe mnapima ukimwi na magonjwa ya zinaa kila baada ya miezi mitatu.... kuhusu mimba mwaga nje

Mbona unanitisha hivo, muwa hapa umenyooka kinoma unahitaji sana rambo sa sijui itakuwaje
 
Sasa Mbona unatuchanganya Mara umesema anakutega tega Mara anaogopa mimba Mara condom inaumiza.
Hebu kamtongoze tena then Rudi hapa na jibu ilimuumiza au la.
 
Zinaumiza sana, tena kwa mfano mimi nikitumia, mpaka tumbo la chini linauma.
Ndio maana naamua niuze mechi tu.

umeuza mechi kwa timu ngapi hadi sasa? na je hadi sasa hujakamatwa na mkono wa sheria?
 
Back
Top Bottom