Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

Hivi ni kweli Condom zinaumiza?

kweli zinaumiza aisee..mbaya zaidi ukutane na jitu limekunywa konyag ni shedaaa.
 
kwahiyo unanishaurije?

kuna Zile za ghari kidogo zinahimili vishindovila usiombe utumie ya jelo halafu jamaa kapiga hiii kitu utaomba pooo.
 

Attachments

  • 1427117791114.jpg
    1427117791114.jpg
    15.6 KB · Views: 547
Akijuaje zinaumiza?!!
Badala ya kuogopa VVU anaogopa mimba tuuu
 
Condom zinabana misuli ya uume,hivyo inapelekea kutokuwa comfortable. Kinachotakiwa ni kavu kavu ili upate joto la papuchi vizuri...
 
utamu ni nyama kwa nyama,utapenda inavyoteleza
 
Ukichanganya akili zangu na zako huyu msichana atakua anakutongoza wewe.... Umeuliza hatua kabla hata ya kuwaza kutongoza.
 
Ila mshkaji 'Kende' kama jina wengine ngumu kumeza
 
Mimi pia huwa zinaniumiza, nikivaa kufika kibo napita route ya Londros...wakati nikipiga kavu napita route ya Marangu chap nafiki kwenye kilele!

Ndio maana nacheza nyumbani tu, uwanja wa ugenini mbigili nyingi!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Back
Top Bottom