New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,585
- 3,209
Mm nilidhani ni sisi tunaoitwa vilaza pekee,kumbe mpaka kwa hao wenye akili pia wanasoma ,Muhas, sfuchas, cuhas
Miss you ,J.M.K ,the presidaah.maana sasa hata kuandamana kuelekea bodi hakuna na hela pia hatupewi.
Watu tupo field with nothing in the pockets,sijui tuishije ugenini,ama kweli kuna watu makatili