James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
BAKWATA ni chombo cha CCM? Hili ni swali ninalojiuliza siku nyingi sana, nafikiri wengi wenu pia mnatafuta jibu. Mimi binafsi nikijaribu kuchunguza naona kama uhusiano wa serikali ya CCM na BAKWATA ni wa karibu kupita kiasi. Nakiri kwamba serikali ina uhusiano na taasisi za kidini lakini hii imezidi.
Hivi karibuni nimesikia sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam eti akikemea viongozi wa dini kuingilia siasa kisa eti inasemekana askofu Bagonza alimsifia Tundu Lissu.
Naomba rais ajaye aruhusu serikali izitambue taasisi nyingine za kiislam ili waislam wawe huru kuchagua ni chombo gani cha kuwawakilisha kama wakristo.
Hivi karibuni nimesikia sheikh wa mkoa wa Dar es Salaam eti akikemea viongozi wa dini kuingilia siasa kisa eti inasemekana askofu Bagonza alimsifia Tundu Lissu.
Naomba rais ajaye aruhusu serikali izitambue taasisi nyingine za kiislam ili waislam wawe huru kuchagua ni chombo gani cha kuwawakilisha kama wakristo.