Hivi ni Kwanini Wanajeshi...

Hivi ni Kwanini Wanajeshi...

Labda tu niwape ufafanuzi kidogo
Kuanzia private hadi w/officer hawa wanaitwa askari na kuanzia nyota moja hadi General ni officers.
Private na Coplo hawa ndio wapiganaji kwa hiyo kwa nature ya kazi lazima maovyoovyo yawahusu hata huko wanakosomea uafisa wa jeshi Coplo's na Private ndio walimu wa kuwatengeneza officers.
Sasa ukiona askari wa cheo cha private hadi koplo anatabia za kilokole hajaiva huyo bado na hawa sio wagomvi bali ukiingia kwenye kilengeo chao lazima utapike nyongo huo ndio uaskari kama wewe ulitaka wakubembeleze iyo kitu kijeshi hakuna.
kwenda..
 
Wenye Vyeo Vya Kuanzia Second Lieutenant Hadi Cheo Cha General Huwa Ni:
  1. Wastaarabu
  2. Wana Hekima
  3. Wanajitambua
  4. Wakarimu Na Marafiki Wazuri
  5. Hawana Makuu Wala Dharau
  6. Wana Nidhamu ILIYOTUKUKA
  7. Hawana Uhuni Na Siyo MALAYA
Na Wenye Vyeo Vya UGOKONI Kuanzia Private Hadi Warrant Officer Huwa Ni:
  1. Wagomvi Hasa Mitaani
  2. Wababe Wa Kipuuzi
  3. Hata Ukikaa Nao Kijiweni Hakuna Madini Wanayoyatoa Katika Vichwa Vyao
  4. Wana Matumizi Mabaya Ya PESA
  5. Omba Omba Sana Pindi Wakiishiwa
  6. Hawapendi Kujiongeza KIELIMU
  7. Wanapenda Mno SIFA, Wana DHARAU Na Wanapenda Kuogopwa Na Raia


Ni kama vile manyumbu na bosi wao fisadi Lowasa, yeye siyo mshari wala mgomvi mgomvi ila shida ipo kwa wafuasi wake mitusi mtindo mmoja hivyo ni kawaida!
 
Wenye Vyeo Vya Kuanzia Second Lieutenant Hadi Cheo Cha General Huwa Ni:
  1. Wastaarabu
  2. Wana Hekima
  3. Wanajitambua
  4. Wakarimu Na Marafiki Wazuri
  5. Hawana Makuu Wala Dharau
  6. Wana Nidhamu ILIYOTUKUKA
  7. Hawana Uhuni Na Siyo MALAYA
Na Wenye Vyeo Vya UGOKONI Kuanzia Private Hadi Warrant Officer Huwa Ni:
  1. Wagomvi Hasa Mitaani
  2. Wababe Wa Kipuuzi
  3. Hata Ukikaa Nao Kijiweni Hakuna Madini Wanayoyatoa Katika Vichwa Vyao
  4. Wana Matumizi Mabaya Ya PESA
  5. Omba Omba Sana Pindi Wakiishiwa
  6. Hawapendi Kujiongeza KIELIMU
  7. Wanapenda Mno SIFA, Wana DHARAU Na Wanapenda Kuogopwa Na Raia
Kozi ya officer cadet inamjenga kamanda kuwa kiongozi bora wakati kozi ya askari mwanafunzi inamfanya askari kuwa asiyeogopa chochote, aliyevurugwa, na mwishowe chizi fresh so kama ataendelea kuwa askari basi tegemea kuendelea kwa uchizi wake lakin kama atapata nafasi na kwenda monduli basi huko atakuwa rectified !
NB; hizo za hapo juu ni pumba tu ! Kitu tofauti kati ya officer na askari wa kawaida ni elimu.. ndiyo inayeta utofauti wa kitabia..

Ubavu
 
Labda tu niwape ufafanuzi kidogo
Kuanzia private hadi w/officer hawa wanaitwa askari na kuanzia nyota moja hadi General ni officers.
Private na Coplo hawa ndio wapiganaji kwa hiyo kwa nature ya kazi lazima maovyoovyo yawahusu hata huko wanakosomea uafisa wa jeshi Coplo's na Private ndio walimu wa kuwatengeneza officers.
Sasa ukiona askari wa cheo cha private hadi koplo anatabia za kilokole hajaiva huyo bado na hawa sio wagomvi bali ukiingia kwenye kilengeo chao lazima utapike nyongo huo ndio uaskari kama wewe ulitaka wakubembeleze iyo kitu kijeshi hakuna.
umetisha mzazi wape somo wasiojua
 
Mimi Hivi Ninavyokuambia Ndiyo Natoka Kuwekewa Dhamana Kwani Kuna Mmoja " Kajipendekeza " Na Mikwara Yake Ya " DRILLS " Zao Nikamwambia Kuwa Kuzaliwa Tu Mtu Wa Mkoa Wa MARA Tayari Kijeshi Wewe Ni PRIVATE Wa Jeshi Hivyo Nilichomfanyia Atawasimulia Wenzake Halafu Bahati Nzuri au Sijui Mbaya Nilimpompa SALAMU Za Wana Mkoa Wa MARA KIMAPIGANO Nikamwambia Naenda Tena KUMSHTAKI Kwa Wakubwa Zake Ili Pia Huko OFISINI Kwake " KINUKE " Hasa Ukizingatia Kuwa Tangia Enzi Na Enzi Maana Iliyo Wazi Ya JWTZ Ni " JESHI LA WAKURYA TOKA ZAMANI " Najua Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu Na Warangi Kwa WIVU Wao Watakataa Ila Ndiyo Ukweli Wenyewe.

Mwisho Nitoe Tu RAI Kwa WAKUU WA HAWA WANAJESHI HEBU JARIBUNI KUWAFUNDISHA NIDHAMU NA MUWAAMBIE KUWA HUKU MITAANI KUNA WATU WANA MAFUNZO YA KIMAPIGANO YALIYOTUKUKA KULIKO HATA HAYO MNAYOWAPA ILA TUNAWAHESHIMU TU NA KAMWE WASIJE KUTUDHARAU VINGINEVYO WAKIENDELEA NA HIZI TABIA ZAO ZA KIBABE HAKIKA TUTAKUWA TUNAWAPIGA KILA UCHAO. Pole Sana Wewe Mwanajeshi NILIYEKUPIGA ILA SIKU NYINGINE USIMPIME MTU KWA KUMUANGALIA TU KWANI WENGINE TULILETEWA MAOMBI YA KWENDA KUMFUNDISHA NGUMI BONDIA FLOYD MYWETHER ILA HARAKATI ZA MAISHA ZILINIZUIA KWENDA ILA HATA HIVYO NI JANA TU NIMEPOKEA MAOMBI YA KWENDA KUMPA MAZOEZI YA AWALI YA KUNG FU NA KARATE Muigizaji SINEMA MAARUFU DUNIANI Jack Chan Kabla Hajaanza Shooting Ya Video Yake Mpya. Na Hicho KIPIGO Nilichokupa Nilitumia Tu Mbinu Za Mwaka 1996 Sijui KAMA Ningesema Nitumie Hizi Mbinu Mpya Za 2016 Kama Ungeamka Leo!

Afande Super Handsome Jaribu Kuwafundisha Vizuri WANAJESHI Wak Namna Ya Kuishi Vizuri Mitaani Na Sisi RAIA MASELA.
Heeee ! Hatari..
 
Wenye Vyeo Vya Kuanzia Second Lieutenant Hadi Cheo Cha General Huwa Ni:
  1. Wastaarabu
  2. Wana Hekima
  3. Wanajitambua
  4. Wakarimu Na Marafiki Wazuri
  5. Hawana Makuu Wala Dharau
  6. Wana Nidhamu ILIYOTUKUKA
  7. Hawana Uhuni Na Siyo MALAYA
Na Wenye Vyeo Vya UGOKONI Kuanzia Private Hadi Warrant Officer Huwa Ni:
  1. Wagomvi Hasa Mitaani
  2. Wababe Wa Kipuuzi
  3. Hata Ukikaa Nao Kijiweni Hakuna Madini Wanayoyatoa Katika Vichwa Vyao
  4. Wana Matumizi Mabaya Ya PESA
  5. Omba Omba Sana Pindi Wakiishiwa
  6. Hawapendi Kujiongeza KIELIMU
  7. Wanapenda Mno SIFA, Wana DHARAU Na Wanapenda Kuogopwa Na Raia
Kumbuka hao wenye sifa za kuanzia namba 8-14 ndio jeshi lenyewe so they deserve such behaviors/ characters, maana kikinuka lazima wanaanza wao, ila hao wengine numbers 1-7 wataishia kuita kwenye radio calls.
 
Labda tu niwape ufafanuzi kidogo
Kuanzia private hadi w/officer hawa wanaitwa askari na kuanzia nyota moja hadi General ni officers.
Private na Coplo hawa ndio wapiganaji kwa hiyo kwa nature ya kazi lazima maovyoovyo yawahusu hata huko wanakosomea uafisa wa jeshi Coplo's na Private ndio walimu wa kuwatengeneza officers.
Sasa ukiona askari wa cheo cha private hadi koplo anatabia za kilokole hajaiva huyo bado na hawa sio wagomvi bali ukiingia kwenye kilengeo chao lazima utapike nyongo huo ndio uaskari kama wewe ulitaka wakubembeleze iyo kitu kijeshi hakuna.
Swadaktaaaa
 
Wenye Vyeo Vya Kuanzia Second Lieutenant Hadi Cheo Cha General Huwa Ni:
  1. Wastaarabu
  2. Wana Hekima
  3. Wanajitambua
  4. Wakarimu Na Marafiki Wazuri
  5. Hawana Makuu Wala Dharau
  6. Wana Nidhamu ILIYOTUKUKA
  7. Hawana Uhuni Na Siyo MALAYA
Na Wenye Vyeo Vya UGOKONI Kuanzia Private Hadi Warrant Officer Huwa Ni:
  1. Wagomvi Hasa Mitaani
  2. Wababe Wa Kipuuzi
  3. Hata Ukikaa Nao Kijiweni Hakuna Madini Wanayoyatoa Katika Vichwa Vyao
  4. Wana Matumizi Mabaya Ya PESA
  5. Omba Omba Sana Pindi Wakiishiwa
  6. Hawapendi Kujiongeza KIELIMU
  7. Wanapenda Mno SIFA, Wana DHARAU Na Wanapenda Kuogopwa Na Raia
Mkuu utafiti wako ni mzuri. Hao wasio na vyeo wasumbufu utafikiri wao ndio maamiri jeshi wakuu. Wasumbufu sana mitaani na ni wachokozi. Halafu hawana nguvu wakipigwa wanaenda kuitana na kuja kundi. Ugomvi wao mwingi ni kunywa pombe bila kulipa na kugombea wanawake wakizidiwa na raia ndio inakuwa shida
 
Kumbuka hao wenye sifa za kuanzia namba 8-14 ndio jeshi lenyewe so they deserve such behaviors/ characters, maana kikinuka lazima wanaanza wao, ila hao wengine numbers 1-7 wataishia kuita kwenye radio calls.
Na pia akae akijua hawa ni askari wa vita sio askari wa wanyama pori sasa kama unakuwa na askar wa vita mdebwedo watasonga mbele kweli?
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Mimi Hivi Ninavyokuambia Ndiyo Natoka Kuwekewa Dhamana Kwani Kuna Mmoja " Kajipendekeza " Na Mikwara Yake Ya " DRILLS " Zao Nikamwambia Kuwa Kuzaliwa Tu Mtu Wa Mkoa Wa MARA Tayari Kijeshi Wewe Ni PRIVATE Wa Jeshi Hivyo Nilichomfanyia Atawasimulia Wenzake Halafu Bahati Nzuri au Sijui Mbaya Nilimpompa SALAMU Za Wana Mkoa Wa MARA KIMAPIGANO Nikamwambia Naenda Tena KUMSHTAKI Kwa Wakubwa Zake Ili Pia Huko OFISINI Kwake " KINUKE " Hasa Ukizingatia Kuwa Tangia Enzi Na Enzi Maana Iliyo Wazi Ya JWTZ Ni " JESHI LA WAKURYA TOKA ZAMANI " Najua Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu Na Warangi Kwa WIVU Wao Watakataa Ila Ndiyo Ukweli Wenyewe.

Mwisho Nitoe Tu RAI Kwa WAKUU WA HAWA WANAJESHI HEBU JARIBUNI KUWAFUNDISHA NIDHAMU NA MUWAAMBIE KUWA HUKU MITAANI KUNA WATU WANA MAFUNZO YA KIMAPIGANO YALIYOTUKUKA KULIKO HATA HAYO MNAYOWAPA ILA TUNAWAHESHIMU TU NA KAMWE WASIJE KUTUDHARAU VINGINEVYO WAKIENDELEA NA HIZI TABIA ZAO ZA KIBABE HAKIKA TUTAKUWA TUNAWAPIGA KILA UCHAO. Pole Sana Wewe Mwanajeshi NILIYEKUPIGA ILA SIKU NYINGINE USIMPIME MTU KWA KUMUANGALIA TU KWANI WENGINE TULILETEWA MAOMBI YA KWENDA KUMFUNDISHA NGUMI BONDIA FLOYD MYWETHER ILA HARAKATI ZA MAISHA ZILINIZUIA KWENDA ILA HATA HIVYO NI JANA TU NIMEPOKEA MAOMBI YA KWENDA KUMPA MAZOEZI YA AWALI YA KUNG FU NA KARATE Muigizaji SINEMA MAARUFU DUNIANI Jack Chan Kabla Hajaanza Shooting Ya Video Yake Mpya. Na Hicho KIPIGO Nilichokupa Nilitumia Tu Mbinu Za Mwaka 1996 Sijui KAMA Ningesema Nitumie Hizi Mbinu Mpya Za 2016 Kama Ungeamka Leo!

Afande Super Handsome Jaribu Kuwafundisha Vizuri WANAJESHI Wak Namna Ya Kuishi Vizuri Mitaani Na Sisi RAIA MASELA.
kwa jinsi tu ulivyoandija nimegundua wewe ndiye ULIYEPIGWA pole sana.
 
Afadhali mmegundua hilo.hawa wanajesh darasa la saba na form four kwakweli hawajitambui yaani wao ni vurugu tu.dah...
Nahisi elimu yako wewe ni darasa la pili.
 
Back
Top Bottom