Ruyama
JF-Expert Member
- Sep 6, 2019
- 367
- 561
Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duumfukoni balance haitoshi.
Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.
Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.