Hivi ni kwanini Typhoid haiko kwenye bima ya afya?

Hivi ni kwanini Typhoid haiko kwenye bima ya afya?

Tatizo wagonjwa wa bima mnakuwaga na vipimo vyenu mkononi, utasikia "Dr nataka kupima vipimo vyote " Ebo
 
ugonjwa wa Tyford umejidhiti wenyewe kutokana na kupanda kwa hali ya ubora wa maisha, Typord iliopo ni ya kitapeli tu kutoka kwenye diagnostic centre zilizochipua kama uyoga
 
Typhoid itakuwepo kama unahis kichefuchefu huna hamu ya kula gesi tumboni kinyesi kinanuka sana kujamba ovyo
 
Typhoid itakuwepo kama unahis kichefuchefu huna hamu ya kula gesi tumboni kinyesi kinanuka sana kujamba ovyo
Sasa hivi joto hakuna limepotea,ngoja niendelee kusikilizia
 
Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duu[emoji44]mfukoni balance haitoshi.

Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.
Kwa sababu maccm yana uhakika wa kulipia kupitia pesa za umma na wahisani
 
Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duu[emoji44]mfukoni balance haitoshi.

Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.
UTI haitoki haraka mwili, sijui unatumia dawa ipi lakini at least after 5 days. Tahadhari, hakikisha unamaliza dawa ulizopewa. UTI ni ugonjwa wa hovyo.
 
UTI haitoki haraka mwili, sijui unatumia dawa ipi lakini at least after 5 days. Tahadhari, hakikisha unamaliza dawa ulizopewa. UTI ni ugonjwa wa hovyo.
UTI ni ugonjwa unaopona kirahisi sana. Huwa nashangaa unakuta mtu hana dalili yeyote kwenye njia ya mkojo lakini anaambiwa ana UTI?
 
Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duu[emoji44]mfukoni balance haitoshi.

Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.
Mpwa. Jiongeze ukanywe dawa ya malaria. Siku hizi hawatoi majibu yanayoonesha mtu ana malaria. Nilihangaika mpaka hospitali kubwa kabisa hawaoni malaria huku naendelea kudhoofika. Jamaa Fulani ananiambia ninywe mseto. Aiseeh. Ndani ya masaa kumi na mbili nikaanza kujisikia vzr maka kiu ya konyagi ikapanda.
Nadhani reagents walizoagiza kupimia malaria zina kasoro au nahisi tumetokomexa malaria
 
Mpwa. Jiongeze ukanywe dawa ya malaria. Siku hizi hawatoi majibu yanayoonesha mtu ana malaria. Nilihangaika mpaka hospitali kubwa kabisa hawaoni malaria huku naendelea kudhoofika. Jamaa Fulani ananiambia ninywe mseto. Aiseeh. Ndani ya masaa kumi na mbili nikaanza kujisikia vzr maka kiu ya konyagi ikapanda.
Nadhani reagents walizoagiza kupimia malaria zina kasoro au nahisi tumetokomexa malaria

Kuna mdau humu alidai b/s ndo inatoa majibu sahihi, ila vile vidude vya mrdt ni uzushi mtupu
 
Wanalipa ukifanya kipimo cha culture na siyo kwa kipimo cha widal test. Vituo vingi vinatumia widal test ambayo inaweza kuleta majibu yasiyo sahihi. Kwa sababu hata ukiwa na ugonjwa mwingine ambao unaweza kupata widal positive. Kumbe siyo Typhoid ni ugonjwa mwingine, Bima wanashauri kufanya Culture.
Hujui kuelezea kitu kwa mtu ili aelewe. Kwani wote humu tunajua maana ya widal na culture test!!
 
hii culture inafanywa kwenye hospitali zip za rufaa au za wilaya
Kila hospital inatakiwa iwe na miundo mbinu ya culture, ila kuanzisha hivyo vitu ni gharama Sana. Ndiyo maana siyo kila hospital ina hicho kipimo. Hata hizo UTI inatakiwa kufanya Culture and sensitivity, ndiyo utakuwa una uhakika kweli ninachotibu ni UTI.
 
Mm nilienda hospital ya serekali huku moshi nkafanyiw vipimo na sasa nipo naendelea na dozi ya typhord ndani ya Sikh kumi
Natumia dawa inaitwa aurocef250 cefalexin capsule
 
bima wakati mwingine ni kama pata potea unakaaa huumwi hadi bima ina expire
Unanikumbusha mzee mmoja alijitoa kwenye chama cha wachaga kisa yeye anachingia tu lakini hajachangiwa kwa maana hiyo alikuwa kama anaomba afe yeye au afiwe.Alivyojitoa tu baada ya mwaka akafariki tulimzika huku huku mbali na kwao kijijini mark your word my brother.
 
Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duu[emoji44]mfukoni balance haitoshi.

Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.
Hujafafanua bima uliyo nayo ni ya aina gani.Mfano AAR kuna catergory golden,silver na blue sasa wewe una bima ya kupima malari a na mafua unategemea upimwe widal
 
Ipo inategemeana na Level ya hospital ulio kwenda, hawaruhusiwi kufanya kipimo cha typhoid koo wakikupima hawatalipwa na bima ndo maana wanakwambia haipo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom