Hivi ni kwanini Typhoid haiko kwenye bima ya afya?

Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duumfukoni balance haitoshi.

Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.

Hata baadhi ya madawa hayamo kwenye bima ya afya, nilimpeleka ndugu yangu hosp akaambiwa ampicloxy hazimo kwenye Bima ya afya, mimi nilidhani ipo haja kupunguza matumizi ya uendeshaji wa bima ya afya ili fedha iende kwenye madawa
 
Ipo inategemeana na Level ya hospital ulio kwenda, hawaruhusiwi kufanya kipimo cha typhoid koo wakikupima hawatalipwa na bima ndo maana wanakwambia haipo.


Kwanini wanaruhusiwa kupima typhoid na kuwatoza watu fedha, kwanini serikali isiwakamate hao wanaopima typhoid badala ya kuwatesa wagonjwa
 
Tiba iko kwenye bima ila kipimo hakiko kwenye bima.
Wakikusumbua kukupa tiba ya typhoid nione pm niifunge hiyo zahanati
 
Kwanini wanaruhusiwa kupima typhoid na kuwatoza watu fedha, kwanini serikali isiwakamate hao wanaopima typhoid badala ya kuwatesa wagonjwa
Hospital ni biashara na bima haifanyi biashara kaa ukielewa, unaweza kuta health centre ina mashine ya MRI, au CT SCAN ambapo hata hospital ya wilaya haipo.

Bima ukizidisha bei ya dawa hailipi, ina bei za dawa zote tz nzima, koo serikali haiwezi kuwafungia watu sbb ni biashara ya kusaidia watu na kupata faida.
 
Hospital ni biashara na bima haifanyi biashara kaa ukielewa, unaweza kuta health centre ina mashine ya MRI, au CT SCAN ambapo hata hospital ya wilaya haipo.

Bima ukizidisha bei ya dawa hailipi, ina bei za dawa zote tz nzima, koo serikali haiwezi kuwafungia watu sbb ni biashara ya kusaidia watu na kupata faida.

Serikali iondoe contradictory statement kwamba hawaruhusiwi kupima typhoid badala yake iseme wanaruhusiwa kupima
 
Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duumfukoni balance haitoshi.

Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.
mkuu kapime tena malaria hospitali kubwa private..

Nilienda hospital ya serikali nkaambiwa nna UTI,malaria sina, nkapiga sindano za UTi siku5, lakin bado usiku nkawa nasikia joto kali haswa tumboni alafu silali, mchana nakuwa mzima..

Nkaenda hospital moja ya ma sister ipo mbagala mission ,wakanipima kila kitu wakakuta nina Malaria 30...

Wakaniandikia sindano za siku 4, na vidonge baadhi ndiyo nimepona..
 
Jana niliamka vibaya sana kwani mwili ulikuwa na joto kali mnoo,kwenda Hospital nikawaeleza ninavyojisikia,Daktari akasema kapime malaria na UTI, nikamwambia jee naweza kupima Typhoid akasema lipia,duumfukoni balance haitoshi.

Majibu yanatoja naambia nina UTI ila sina Malaria, sasa leo tokea saa 10 alfajiri ninahisi joto lipo juu na hii hali ni usiku tu mchana niko vizuri.
Typhoid unajua sababu zake ziepuke na hautaiulizia tena kwenye bima,acha ushamba
 
  • Masikitiko
Reactions: Cyb
Hii nimeamini juzi nimeenda na bima hospitali binafsi kwenye vipimo naambiwa typhoid nilipie tena
 
Wanalipa ukifanya kipimo cha culture na siyo kwa kipimo cha widal test. Vituo vingi vinatumia widal test ambayo inaweza kuleta majibu yasiyo sahihi. Kwa sababu hata ukiwa na ugonjwa mwingine ambao unaweza kupata widal positive. Kumbe siyo Typhoid ni ugonjwa mwingine, Bima wanashauri kufanya Culture.
Nadhani amekuelewa vizuri
 
Wewe ukienda kupima choo majibu yake unayapata hapohapo sio? Sasa hiyo anayozungumzia jamaa hapo juu unaacha choo chako hospitali kinasindikwa kama mbegu za mahindi zinazo oteshwa kwenye maji hapo nasikia kinakaushwa baadaw kinasagwa kisha ndio kinapimwa kisha unaitwa siku nyingine kuchukua majibu yako
Nimependa ufafanuzi wako mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom