Mc abby
New Member
- Sep 27, 2023
- 3
- 6
Naomba Tulijadili hili kwa umoja maana hiii imekua kama kawaida sasa kwa mamazetu wenye pesa kutembea na vijana wadogo ambao hata wao wenyewe wanaweza kuwazaa.
Swali langu
1 Je, ni sawa hili swala?
2 Mbna hatuoni ndoa zaidi ya kumtumia na kumuachaa tu?
Tusaidia wakuuu
Karibuni kwa hili
Swali langu
1 Je, ni sawa hili swala?
2 Mbna hatuoni ndoa zaidi ya kumtumia na kumuachaa tu?
Tusaidia wakuuu
Karibuni kwa hili