Habari jf , Binafsi kwa nature ya kazi yangu ananifanya nakuwa karibu sana na watu wa aina mbalimbali lakini kuna kitu sijakuelewa.
Asilimia kubwa ya Waalimu hawampendi hayati JPM
Wanasheria na wanasiasa wanafuata
Cha kushangaza wafanyabishara ambao ndio walibanwa sana ni wachache sana kuona hawakubali JPM tofauti na Waalimu.
Mwisho kabisa Kada ya Afya hususani madaktari ni wachache sana kuona wanamzungumzia vibaya Hayati mbali namna ilivyokwenda issue ya COVID19 .
Swali ninalo jiuliza hayati na Waalimu walipishana wapi?
Asilimia kubwa ya Waalimu hawampendi hayati JPM
Wanasheria na wanasiasa wanafuata
Cha kushangaza wafanyabishara ambao ndio walibanwa sana ni wachache sana kuona hawakubali JPM tofauti na Waalimu.
Mwisho kabisa Kada ya Afya hususani madaktari ni wachache sana kuona wanamzungumzia vibaya Hayati mbali namna ilivyokwenda issue ya COVID19 .
Swali ninalo jiuliza hayati na Waalimu walipishana wapi?