Jamani kunatabia inanikera katika jamii yetu
Utakuta ndugu yenu anaugua anakosa pesa ya kwenda hospitali , ndugu wanajikausha wakati uwezo wanao
wakumsaidia.
Akifa ndipo kila ndugu anjitia kutonyesha msaada .
Jinsi ya kupamba mazishi nakutoa mchango mkubwa kwaajili ya mazishi.
Jamani wa TZ tubadilike, tujivunie kutoa misaada kwa ndugu wanapo kuwa wanaumwa sio wakati wamekufa. \
\
Utakuta ndugu yenu anaugua anakosa pesa ya kwenda hospitali , ndugu wanajikausha wakati uwezo wanao
wakumsaidia.
Akifa ndipo kila ndugu anjitia kutonyesha msaada .
Jinsi ya kupamba mazishi nakutoa mchango mkubwa kwaajili ya mazishi.
Jamani wa TZ tubadilike, tujivunie kutoa misaada kwa ndugu wanapo kuwa wanaumwa sio wakati wamekufa. \
\