mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,858
- 106,099
Wamejihujumu wenyewe.........
Unajenga Barabara hapo Jangwani na Wanajua fika matatizo ya hapo..... Na wametumia mabilion ya fedha
Leo hii hapo panatakiwa kuvurugwa tena na kujenga daraja kutoka magomeni mpk fire
Ina maana pesa ikiyotumika mwanzoni ni Sawa na kutupwaa msalani
Sasa mpaka hapo sisi tun akili au matope
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajenga Barabara hapo Jangwani na Wanajua fika matatizo ya hapo..... Na wametumia mabilion ya fedha
Leo hii hapo panatakiwa kuvurugwa tena na kujenga daraja kutoka magomeni mpk fire
Ina maana pesa ikiyotumika mwanzoni ni Sawa na kutupwaa msalani
Sasa mpaka hapo sisi tun akili au matope
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app