Ni vizuri Mradi wa Bonde la Mto Msimbazi na Daraja la Jangwani tungewapa Waholanzi Watujengee

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,226
26,048
Nimefurahishwa sana kusikia Waholanzi ndo waliotoa fedha za ujenzi wa Daraja la Jangwani.

Nimefika Uholanzi. Na kwa waliofika Uholanzi watakubaliana na Mimi kule kuna hadi madaraja yanayojifungua na kujifungwa yenyewe.

Sio hivyo tu wale jamaa nadhani ndo namba moja duniani kwa uwezo wa kujenga miradi ya namna hii. ( Land Reclaimation Projects).

Kama nchi hii tunataka tufanye jambo zuri kwa mara ya kwanza ili kuwafundisha vizazi vijavyo namna bora ya kutumia akili walizopewa na Mungu basi mradi wa Bonde la Mto Msimbazi pamoja na Daraja la Jangwani tuwape waholanzi.

Muwe na Jumapili Njema.
 
Nimefurahishwa sana kusikia Waholanzi ndo waliotoa fedha za ujenzi wa Daraja la Jangwani.

Nimefika Uholanzi. Na kwa waliofika Uholanzi watakubaliana na Mimi kule kuna hadi madaraja yanayojifungua na kujifungwa yenyewe.

Sio hivyo tu wale jamaa nadhani ndo namba moja duniani kwa uwezo wa kujenga miradi ya namna hii. ( Land Reclaimation Projects).

Kama nchi hii tunataka tufanye jambo zuri kwa mara ya kwanza ili kuwafundisha vizazi vijavyo namna bora ya kutumia akili walizopewa na Mungu basi mradi wa Bonde la Mto Msimbazi pamoja na Daraja la Jangwani tuwape waholanzi.

Muwe na Jumapili Njema.
Umenikumbusha Land reclamation Ile ya form two...

A level Kuna hili swali

"God made Dutch but Dutch made Holland" Discuss

🤓
 
Nimefurahishwa sana kusikia Waholanzi ndo waliotoa fedha za ujenzi wa Daraja la Jangwani.

Nimefika Uholanzi. Na kwa waliofika Uholanzi watakubaliana na Mimi kule kuna hadi madaraja yanayojifungua na kujifungwa yenyewe.

Sio hivyo tu wale jamaa nadhani ndo namba moja duniani kwa uwezo wa kujenga miradi ya namna hii. ( Land Reclaimation Projects).

Kama nchi hii tunataka tufanye jambo zuri kwa mara ya kwanza ili kuwafundisha vizazi vijavyo namna bora ya kutumia akili walizopewa na Mungu basi mradi wa Bonde la Mto Msimbazi pamoja na Daraja la Jangwani tuwape waholanzi.

Muwe na Jumapili Njema.
Familia zetu utazitunza wewe? Sisi huko UVCCM tunao vijana waliokomaa na wabobezi wazalendo wamebobea kwenye ujenzi wa miundombinu ya kila aina, haka kamradi ni kadogo sana kwao na watakamilisha ndani ya muda mfupi kwani watafanyakazi mchana na usiku.
 
Kama wametoa pesa kuna uwezekano mkubwa wakajenga wao wenyewe,
 
Watu kama nyie ndio mnadharau wake zenu mkienda kula kwa Shishi food 😂😂

Kumbe hamuachi Mzigo wa kutosha mpikiwe vinono🐼
Hawana huo uwezo wala maarifa ya kufanya mradi wa namna hii.

Hata hii miradi tunayowapa ha ndani tu ni ulimbukeni tu ila hawana huo uwezo wa kuijenga kwa ubora unaotakiwa. Ndo mana majengo mengi wanayojenga ni kichekesho tu.

Sema kwa sababu waafrika hatuangalii ubora ndo mana tunawaona bora
 
Familia zetu utazitunza wewe? Sisi huko UVCCM tunao vijana waliokomaa na wabobezi wazalendo wamebobea kwenye ujenzi wa miundombinu ya kila aina, haka kamradi ni kadogo sana kwao na watakamilisha ndani ya muda mfupi kwani watafanyakazi mchana na usiku.
Kule watu wanawaza uteuzi wawe ma das, ded, dc, rc ili watoke kimaisha na waule.
Hakuna mtu anayetizama Utumishi kama eneo la kufanya service ili nchi yetu iwe bora kwa vizazi vingi vijavyo. Ndo mana huoni creativity yeyote ya kuifanya nchi ibadilike na kuwa bora kutoka kwa hao watu zaidi ya maigizo na vibwanga tu
 
Mkuu bila wasiwasi wapewe RABAG International hawa walijenga mwendokasi miaka ile ya 2015
 
Nimefurahishwa sana kusikia Waholanzi ndo waliotoa fedha za ujenzi wa Daraja la Jangwani.

Nimefika Uholanzi. Na kwa waliofika Uholanzi watakubaliana na Mimi kule kuna hadi madaraja yanayojifungua na kujifungwa yenyewe.

Sio hivyo tu wale jamaa nadhani ndo namba moja duniani kwa uwezo wa kujenga miradi ya namna hii. ( Land Reclaimation Projects).

Kama nchi hii tunataka tufanye jambo zuri kwa mara ya kwanza ili kuwafundisha vizazi vijavyo namna bora ya kutumia akili walizopewa na Mungu basi mradi wa Bonde la Mto Msimbazi pamoja na Daraja la Jangwani tuwape waholanzi.

Muwe na Jumapili Njema.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom