Serikali yatoa Bilioni 300 Kuanza Ujenzi wa Daraja la Jangwani. Kero ya Mafuriko kuwa Historia

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,727
Serikali Rais mama Samia imetenga Bilioni 300 kuanza Ujenzi wa Daraja la Jangwani Ili kutatua kero ya mda mrefu ya Mafuriko na kukatika Kwa Barabara eneo la Jangwani

Daraja Hilo litajengwa kuanzia eneo la Magome I Hadi Fire na litakuwa la njia 4.

Mtakataba wa kuanza ujenzi utatiwa Saini sambamba na mikataba mingine 15 itayoshihudiaa na Rais mwisho wa mwezi Novemba.
20231109_070911.jpg


My Take
Mama anafanikisha ,kazi zinaendelea Kila pande ya Nchi, Kaskazini Hadi Kusini,Mashariki Hadi Magharibi Kigoma mwisho wa reli.

Maneno machache kazi kubwa,machadomo yananuna tuu. 🔥🔥

View: https://www.instagram.com/p/CzluR47tilB/?igshid=MTdkM25vOG5hMWJvZw==
 
Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Rais Samia imetenga Bilioni 300 kuanza Ujenzi wa Daraja la Jangwani Ili kutatua kero ya mda mrefu ya Mafuriko na kukatika Kwa Barabara eneo la Jangwani

Daraja Hilo litajengwa kuanzia eneo la Magome I Hadi Fire na litakuwa la njia 4.

Mtakataba wa kuanza ujenzi utatiwa Saini sambamba na mikataba mingine 15 itayoshihudiaa na Rais mwisho wa mwezi Novemba.
View attachment 2810200

My Take
Mama anafanikisha ,kazi zinaendelea Kila pande ya Nchi, Kaskazini Hadi Kusini,Mashariki Hadi Magharibi Kigoma mwisho wa reli.

Maneno machache kazi kubwa 🔥🔥
Samia hana pesa ya kutoa, ni kodi za wananchi zilizopitishwa na bunge, mwanamme mzima unaishi kwenye uchafu wa mwanamke! Chawa
 
Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Rais Samia imetenga Bilioni 300 kuanza Ujenzi wa Daraja la Jangwani Ili kutatua kero ya mda mrefu ya Mafuriko na kukatika Kwa Barabara eneo la Jangwani

Daraja Hilo litajengwa kuanzia eneo la Magome I Hadi Fire na litakuwa la njia 4.

Mtakataba wa kuanza ujenzi utatiwa Saini sambamba na mikataba mingine 15 itayoshihudiaa na Rais mwisho wa mwezi Novemba.
View attachment 2810200

My Take
Mama anafanikisha ,kazi zinaendelea Kila pande ya Nchi, Kaskazini Hadi Kusini,Mashariki Hadi Magharibi Kigoma mwisho wa reli.

Maneno machache kazi kubwa
Jangwani ilikuwa hadi mwendokasi zinaogelea
 
Back
Top Bottom