KWENYE FRIDAY NIGHT LIVE YA EATV NAKUBALI NA KWENYE XXL NAKUBALI PIA, KWENYE HABARI YA ITV ILIKUA NI KWELI ILA KWASASA BAADA YA MEDIA NYINGI KUBANWA NA UTAWALA KIDOGO ITV WAMESHUKA NA KWASASA AZAM HABARI HAWANA MPINZANI.
HIVYO VIPINDI VINGINE SINA UHAKIKA SANA NA UTAFITI WAKO.
Naikubali mno ITV habari UTV ndio siwaelewi kabisa muda mwingi habari ni moja tu na mahojiano marefu juu ya swala moja mf kipindi cha Corona mwanzo mwisho na sasa hivi Uchguzi mwanzo mwisho as if hamna incidents zozote nchini
Kwenye habari ni vipindi viwili tu vyenye mvuto, hapa Tanzania kwa sasa.
-BBC-swahilli (Star Tv, saa tatu usiku)
-UTV(Azam) (saa 2usiku)
Tatizo la UTV ipo kwenye king'amuzi cha Azam pekee, huwezi kuipata kwenye Startimes, DSTV, Continental, Satelite dish(FTA), Ting, Zuku nk.
Binafsi nilikuwa siifahamu UTV habari mpaka siku nilipo miliki king'amuzi cha Azam, na toka nianze kuiangalia sijajuta na wala sijarudia tena kutazama ule uchafu wa ITV-habari niliokuwa nimeuzoea.
Yaani mzee wangu bila kuangalia habari ITV hiyo haijawa habari..
Japo habari kibongobongo now ni UTV na BBC Swahili saa tatu kupitia StarTv