Bongo Kila Mtu Mchambuzi wa Soka. Nimehesabu Hadi Sasa kwenye Media Kuna Wachambuzi 124

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,200
27,255
Hivi kwa nini sasa hivi kila media ina wachambuzi wengi wa soka? Kipindi kimoja wachambuzi 8?

Kuanzia asubuhi, mchana na usiku kote Kuna vipindi vya uchambuzi. Kuna redio moja kipindi cha lisaa limoja kuna wachambuzi 8

Kuna media nyingine kuanzia saa 3 asubuhi ni uchambuzi, saa 5 kwenye kipindi kuna uchambuzi, saa 9 kipindi cha muziki napo wana uchambuzi, saa 1jioni Kuna uchambuzi, na saa 3 usiku wana uchambuzi tens masaa mawili, Hadi saa 5 usiku wao wanachambua tu. Alafu wote ni watu tofauti

Alafu wachambuzi wote ni lazima watumie kiswaenglish. Bila kiswaenglish unaonekana hujui uchambuzi.
Alafu wote huwezi kuwasikiliza bila kusikia haya maneno:
  • back four, back three
  • transition
  • high line
  • diagonal pass
  • box to box
  • diamond shape
  • lonely striker
 
Hivi kwa nini sasa hivi kila media ina wachambuzi wengi wa soka? Kipindi kimoja wachambuzi 8?

Kuanzia asubuhi, mchana na usiku kote Kuna vipindi vya uchambuzi. Kuna redio moja kipindi cha lisaa limoja kuna wachambuzi 8

Kuna media nyingine kuanzia saa 3 asubuhi ni uchambuzi, saa 5 kwenye kipindi kuna uchambuzi, saa 9 kipindi cha muziki napo wana uchambuzi, saa 1jioni Kuna uchambuzi, na saa 3 usiku wana uchambuzi tens masaa mawili, Hadi saa 5 usiku wao wanachambua tu. Alafu wote ni watu tofauti

Alafu wachambuzi wote ni lazima watumie kiswaenglish. Bila kiswaenglish unaonekana hujui uchambuzi.
Alafu wote huwezi kuwasikiliza bila kusikia haya maneno:
  • back four, back three
  • transition
  • high line
  • diagonal pass
  • box to box
  • diamond shape
  • lonely striker
Na umesahau hospital pasi
Nimecheka kwa sauti haaaa haaa
 
Hivi kwa nini sasa hivi kila media ina wachambuzi wengi wa soka? Kipindi kimoja wachambuzi 8?

Kuanzia asubuhi, mchana na usiku kote Kuna vipindi vya uchambuzi. Kuna redio moja kipindi cha lisaa limoja kuna wachambuzi 8

Kuna media nyingine kuanzia saa 3 asubuhi ni uchambuzi, saa 5 kwenye kipindi kuna uchambuzi, saa 9 kipindi cha muziki napo wana uchambuzi, saa 1jioni Kuna uchambuzi, na saa 3 usiku wana uchambuzi tens masaa mawili, Hadi saa 5 usiku wao wanachambua tu. Alafu wote ni watu tofauti

Alafu wachambuzi wote ni lazima watumie kiswaenglish. Bila kiswaenglish unaonekana hujui uchambuzi.
Alafu wote huwezi kuwasikiliza bila kusikia haya maneno:
  • back four, back three
  • transition
  • high line
  • diagonal pass
  • box to box
  • diamond shape
  • lonely striker
Alafu❌
Halafu✔️
 
Nje ya taarifa ya habari raggae music kipindi nachosikiliza ni mpira pekee siasa za majitaka tumeachia wenyewe wanasiasa
 
Tatizo la ajira ni kubwa sana nchini,yaani mtu amekaa na kupoteza muda wote kuhesabu media na wachambuzi nchini wa nchi nzima


Eeeh Mungu baba uliye mbinguni, ona wanao tunavyoteseka
 
Mchambuzi wa mpira akitumia neno diagonal pass au transition kuna tatizo gani? Hizo ni terms za football, ulitaka alete misamiati ya hospitali? Wivu mbaya sana.
 
Hivi kwa nini sasa hivi kila media ina wachambuzi wengi wa soka? Kipindi kimoja wachambuzi 8?

Kuanzia asubuhi, mchana na usiku kote Kuna vipindi vya uchambuzi. Kuna redio moja kipindi cha lisaa limoja kuna wachambuzi 8

Kuna media nyingine kuanzia saa 3 asubuhi ni uchambuzi, saa 5 kwenye kipindi kuna uchambuzi, saa 9 kipindi cha muziki napo wana uchambuzi, saa 1jioni Kuna uchambuzi, na saa 3 usiku wana uchambuzi tens masaa mawili, Hadi saa 5 usiku wao wanachambua tu. Alafu wote ni watu tofauti

Alafu wachambuzi wote ni lazima watumie kiswaenglish. Bila kiswaenglish unaonekana hujui uchambuzi.
Alafu wote huwezi kuwasikiliza bila kusikia haya maneno:
  • back four, back three
  • transition
  • high line
  • diagonal pass
  • box to box
  • diamond shape
  • lonely striker

Ni nzala tu
Hamna kitu
 
Taifa la wachambuzi hili
In fact kila nyumba sasa hivi kuna mchambuzi.....

Ukijua double pivot Tu tayari we mchambuzi
 
EFM na ETV inakufa na kukosa popularity kwasabab ya wachambuz wake karibia wote wapumbavu...
CLOUDS wapo vzuri miaka yote, shida sikuhiz kuna yule mtangazaj mgeni Masta Wakutinduliwa sijui, anachambua upumbav mtupu, sijui kaingiaje pale au ndio mtoto wa binam kaingizwa kaingizwa tu...
WASAFI wanajitahidi pia tatzo lao kuna team ikifungwa wataitetea kipindi kizima ionekane bora...
 
Back
Top Bottom