Ujinga tu na kutojitambua,wanaona wamemaliza kila kitu kuonekana kwenye tv show wakati baada ya miaka kadhaa tutaanza kusikia mabakuli,asaidiwe anaumwa sijui figo,badala ya kuinvest kwa kutumia umaarufu wao wanapiga Picha za kijinga, Picha hizi zitawahukumu baadaye............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.