Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,779
- 14,303
- Thread starter
- #81
Sijilaumu kuijua Forex Bali nawalaumu walio matapeli.Naona mnakuja mmoja mmoja.
Lakini Forex Ndio maisha yangu.. Sifikirii kuiacha Leo wala kesho kutokana na potential yake...its my financial lifestyle.
Na Forex haina hata chembe ya utapeli.