Kuna broker kibao wanatoa demo for just free.. Tafuta demo jibrush hata miezi sita.. Ubongo una tabia ya kuadapt..utakuwa vizuri ukinipata hata Mimi nakufundisha hata bure tu kizalendo then unaendelea na hamsini zako. Its good ukiijua hii business.Mkuu Humble African kuna hawa templer Fx wanasema wana fanya trade za training kwa dola moja!! Yaani inakuwa kama demo acc ila ni real! Mi nataka hiyo ili niwe tu kama nacheza game huku naji brush!
Hawa wote mlikuwa nao pia Mkuu. .??Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Kama kawa!Hawa wote mlikuwa nao pia Mkuu. .??
Nop! Hiyo nnayosemea unaweza kui withdraw!! Ni ya kwako,sometimes ni vyema kuji train kwa real money ili uwe serious! Unaweza kui toa kwa Mpesa kama nipo sahihi!Kuna broker kibao wanatoa demo for just free.. Tafuta demo jibrush hata miezi sita.. Ubongo una tabia ya kuadapt..utakuwa vizuri ukinipata hata Mimi nakufundisha hata bure tu kizalendo then unaendelea na hamsini zako. Its good ukiijua hii business.
Wanakupa dola hata 3000 ambazo ni non withdrawal.. Ni za kupigia jalamba tu. Hii ni Bonge la opportunity sema Ontario katutumia tu kama ngazi na kahsribu reputation yake.
Kama hajawahi kutrade kabisa huwezi fika popote kwa dola 1..ili uweze kuimake hiyo dollar unapaswa kuwa professional Market killer kama akina Sandile shezi wa South Africa.Nop! Hiyo nnayosemea unaweza kui withdraw!! Ni ya kwako,sometimes ni vyema kuji train kwa real money ili uwe serious! Unaweza kui toa kwa Mpesa kama nipo sahihi!
Duh noma sana had kina RugeNandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Relax Kwa sasa watu kibao wanajua Forex.. Ukimpata mtu competency anakufundisha na unaiva kwa hela ya maji tu kibaharia.Mimi mkuu km tayar umepata knoladge nA fx tayar ujuzi umepatakan just achana na huyo tapeli na 2saidie 2 sisi elimu coz mm mpk Leo nategemea fx kuwa business ya life yangu
Bora walimkavu kuliko walimwenguMkuu sio ya kucheka haya! Tafadhali tupe hata pole tu inatosha.
Forex ni halali na bado ina potential ya kukupa hela nzuri kama hauna tamaa. Mimi bado nafanya Forex sema naamini nimeiva kiasi cha kuifanya mwenyewe bila kuteteleka na hata nikiwa na mtu akianza utapeli nang'amua maana nina kitu muhimu ambacho ni knowledge na experience. Na hii imenichukua muda, haiji haraka haraka. It takes time of hard work, continues learning process, and strong determination.Poleni sana ndugu wana jamii forum kwa msiba huo mzito uliowatokea.
Japo Ontario nilishawahi kubishana naye sana kupitia whatsapp na kundi lake lakini wafuasi wake wakanicheka na kunitusi mwishowe wakanitoa kwenye kundi lao la forex kupitia whatsapp, moyoni nilibaki kutabasamu nikafanya yanayonihusu unajua ni kwanini.... ?? Shetani wangu huwa haruhusu mimi kuamini na kukubali jambo lisemwalo na mtu moja kwa moja lazima niingie kusoma kwenye vitabu lakini nikaona siyo kweli hakuna pesa ya haraka haraka bila kuitolea jasho halali kuanzia kuanzia siku hiyo forex nikaachana nayo kuifatilia na sitaki kuijua, am hustle for my own..... Trust no bxtches.