bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,454
- 12,661
Wee Nyani wa mjini ujapigwa kwa zuga ya ndizi???Aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee Nyani wa mjini ujapigwa kwa zuga ya ndizi???Aisee!
Wee Nyani wa mjini ujapigwa kwa zuga ya ndizi???
Wengine wamekula za uso sema ni aibu sometime mtoto wa kiume kukubali umekula za uso.Wee Nyani wa mjini ujapigwa kwa zuga ya ndizi???
We sukuma la wapi???"ujapigwa" ndiyo nini?
Alimaanisha ulifanikiwa kuruka Bait au ulinasa"ujapigwa" ndiyo nini?
Una maana ONTARIO kamkosea heshima hata brother Max?? Kweli hela mwanaharamu!At the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
Bigmind nilishakataa ujinga tangu niliwe 110k na GNLD, eti marketing networks, ujinga mtupu..Wengine wamekula za uso sema ni aibu sometime mtoto wa kiume kukubali umekula za uso.
Natamani hayo maneno yote niliyo bold watu wote dunia nzima wayasome...life has no shortcut, nafikiri hata matajiri wakubwa duniani akina Bill Gate, Jac hawakupata utajiri wao kirahisi never and ever. Life is the trend of events with ups and down, no smooth road tusidanganyane. No sweat no sweet in simple words.
Munufaifa utakuwa..
Ila dogo katengeneza mkwanja mkubwa sana! Hizi fursa zinakujaga once in a lifetime.Wazee wa ganda la ndizi, pole na uwape pole wenzako maisha yanatakiwa yaendelele
Tunakula tu ubuyu!Misukule mpoooo
Dah!! Basi I salute the man ONTARIO kama kawakalisha ma Don wa town kama akina Ruge basi huyu kiumbe ni next level!Nandy, AY, Max, Ruge mutahaba, hawa wote nao wamekula za uso.
Wengine walikuwa wana trade kwa siri.
Hahahahah...Fanya kama hukumuonaaaaKuna kidogo mmoja wa serikali alikuwepo pale ngoja nipige kimya tu! Nae kafurushwa vikali.