Imeandikwa "mshike sana elimu, wala usimwache aende zake " hujawahi kusoma kipengele hicho?
Tatizo lenu ninyi hamsomi kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.
Bila kujua kusoma utajuaje kusoma hata hiyo Biblia yako?
Bila Elimu tusingekuwa na MADAKTARI, WALIMU NA WATAALAMU MBALIMBALI. Hata hiyo simu unayoitumia ni kutokana na elimu. POLENI SANA.
Tatizo lenu ninyi hamsomi kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu.
Bila kujua kusoma utajuaje kusoma hata hiyo Biblia yako?
Bila Elimu tusingekuwa na MADAKTARI, WALIMU NA WATAALAMU MBALIMBALI. Hata hiyo simu unayoitumia ni kutokana na elimu. POLENI SANA.
