Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,446
- 1,812
Noted
Papuchi bwaana !!! Hadi maraisi wanaitetemekea hhahahah daah
Kanumba akaponzwa na luluYalimshinda Mfalme Daudi, Yakamshinda Selemani, Adamu akaponzwa na Hawa, Samsoni akaponzwa na Delila, Mugabe akaponzwa na grace, Clinton akaponzwa na Monica.. Ivi mimi ni nani hata nisalimike?
Hadithi nzuri Ila uandishi una poteza ladha yote. But afadhali ameshare tumetoa tongotongoUzi una typing error huu hadi inakera
Kwa mila na desturi za wazungu, Hilary alionesha ni mwanamke wa pekee. Wengine ndoa ingevunjika.Bi Hilary Clinton ndiye aliyechukua credit katika scandal hii kwa kuwa mtulivu.
kwa sababu hiyo wamarekani walianza kuhisi kuwa na wabunge wengi wanasheria kuna madharaHii kesi niliwahi kuisikiliza siku ya IMPEACHMENT ya Mh. Rais Clinton. Kuna jamaa moja lilisimama kwa ajili ya kumtetea Mh. Rais likasema statement hii huwa siisahau. THE IMPEACHABLE SENSES ARE NOT PROVABLE, AND THE PROVABLE SENSES ARE NOT IMPEACHABLE. Nilichoka siku hiyo baada ya kusikia statement hiyo. Nilikubali kuwa kuna watu wanajua kucheza na maneno duniani!