MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
- Thread starter
- #321
Hizo ni oesa za walipa kodi kutoka hazina ya taifa.Acheni uongo wenu. Acheni Chadema wakopeshane kuendesha chama chao. Who cares? Shughulikie mambo yanayohusu fedha za na maslahi ya umma. Tumelipa kiasi gani kwenye faini ya Bombardier? hilo ni la muhimu zaidi kuliko kufuatilia mambo ya Chadema kukopa fedha kwa wanachama wao.
Kama unataka CHADEMA wasifatiliwe basi waambie waache kuchukua pesa za walipa kodi kutoka hazina ya taifa.