Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

CCM wengi ni wajinga wajinga kwani hata ambao wapo kwenye mitandao ni watumishi wa Le mutuz , Jerry muro na Cyprian msiba ni wajinga wote maana huwezi kuandika mawazo ya hao watu yakawa ya maana, kwa kifupi CCM hawataki Ruzuku yao iguswe kwani ikiguswa wengi watapata kesi.
Jerry Muro aliwakamata Polisi wala rushwa wakamfanyia mizengwe afungwe leo kawa kibaraka wao.
 
Chama kinaendeshwa ktk OFISI ZA Instagram na mitandao mingine hawajui wanapigwa hela VBY na jibaba
Nyumba hajawahi kuwa na Akili

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
Miaka 55 ya CCM Nchi haina maendeleo huku Tanganyika ikiongoza kwa mali Duniani lakini CCM inatafuna pesa zote kienyeji huku ikitumia pesa za Umma kueneza Propaganda za kishamba toka kolomije na chato kwa sasa, Deni la Taifa kimekuwa mara dufu, uchumi unedumaa, madili ya 10% ununuzi wa ndege, pia 10% kwenye malipo ya kuikomboa Ndege, huku 10% zikiendelea kwenye ujenzi wa chato Airport na viwanja vinginevyo vinavyojengwa na vitavyojengwa kwa gharama kubwa kisa kuna 10% zao humo, hakuna unafuu wa maisha kwa Awamu hii ya tano ya 10%ununuzi wa kivuo, vibali vya sukari na madili lukuki mpaka Nchi imezidiwa na Deni la Taifa.
 
CCM inayowajali wanyonge imepiga pesa za wazee wastaafu kwenye vibubu vyao vya mifuko ya jamii! hata huruma hawana!
Ruzuku ya CCM inapigwa na Wajanja wachache na mtumizi yake makubwa ni kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi, kuwafunga jela Wapinzani na unyama mwingineo mwingi
 
CCM ndiyo chama kinachoongoza kwa kutafuna Ruzuku kama mchwa Duniani kisha huenda kuchukua pesa Hazina kienyeji pasipo idhini ya Bunge
 
Nilijua tu watetezi wa aina yako watajitokeza.

Kwa kukusaidia ni kuwa upande wa CCM hesabu zake hazina matatizo ya ufisadi kama ilivyo CHADEMA.

Hata kama kungekuwa na matatizo huwezi kusema viongozi wa CHADEMA wanalipiza kile ambacho kimefanywa na serikali ya CCM!

Hizi ni fikra ndani ya akili matope!

Kwa mtaji huu haishangazi kuona siku hizi hata neno ufisadi limekuwa bidhaa adimu ndani ya midomo ya wanaCHADEMA!

Kwa mtindo huu wakipewa hazina yote ya taifa itakuwaje?

IMG_0546.JPG


Hili unalizungumziaje?
 
Nyinyi wote wale wale tu, hakuna mwanasiasa wa kuaminika hasa hawa wa hizi nchi zetu ya dunia ya tatu.
 
Mkaguzi Mkuu wa serikali(CAG) ameanika wazi jinsi ambavyo mabilioni ya pesa za CHADEMA yanatafunwa bila huruma na wajanja wachache huku chama kikiendelea kuwa na ofisi Kuu katika kibanda kwenye mtaa wa Ufipa Kinondoni wakati huo huo Mbowe akidai chama hakina pesa za kuwalipa watumishi mikoani na wilayani.

Haya yamebainishwa katika repoti ya ukaguzi ya mwaka wa fedha 2016/2017.

Hii inazidi kudhihirisha kuwa CHADEMA ina wenyewe kwa sababu hakuna kiongozi au mwanachama atakayethubutu kuhoji sana sana watajitokeza wapambe wake kumtetea kwa kutumia hoja za nguvu badala ya nguvu za hoja.

Kwa mtaji huu wa kujichotea pesa bila kuulizwa au kuwajibishwa, Mbowe hawezi kuachia nafasi ya Uenyekiti wa Chama Taifa!

Kinachoshangaza zaidi ni kuwa CCM ya sasa katika ukaguzi huu haina ufisadi kama wa CHADEMA pamoja na kwamba ni chama kikubwa na chenye pesa nyingi na miradi mingi.

Kwa maelezo zaidi nimekuwekea hapa chini sehemu ya uozo ndani ya CHADEMA uliobainishwa na ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya serikali 2016/17.

View attachment 741889
View attachment 741896
View attachment 741901
Ccm mmepata hati chafu
FB_IMG_1523887419350.jpg
 
Hizo ni oesa za walipa kodi kutoka hazina ya taifa.

Kama unataka CHADEMA wasifatiliwe basi waambie waache kuchukua pesa za walipa kodi kutoka hazina ya taifa.
Wamekopa kutoka kwa wanachama wao. Do you have a problem with that? Yaani wewe ukikikopa kwa rafiki yako zinakuwa fedha za umma? Don't be silly.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom