Hivi ndivyo Freeman Mbowe na genge lake anavyotafuna pesa za CHADEMA!

Mbona hamkuweka mchakato wa 1.5 trillion? Hizo ni mamillion tu na CAG kwa sababu zake mwenyewe hakusikiliza maelezo. Wekeni matrilluon!!!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kwa miaka minane mtu aliitwa fisadi, kumbe wale waliokuwa wanamuita yeye fisadi ni mafisadi waliokubuhu.

Mzee alipoweka mzigoni mezani, jamaa wakalainika mazima!. Hivi sasa wamewekwa kwenye kona ambayo inawafanya wasijisikie kuwa na amani.
 
Makosa ya CDM mtayatafuta sana lakini hamyapati lakini ya ccm ambayo yako wazi hamthubutu kuyaweka hapa kwani yatajaza page. Unadhani kwa nini Bashiru kahongwa ukatibu mkuu cm? Yote ni kuficha uozo ulioonekana ndani ya box ya chama kuu wakati akifanya uchunguzi! Uwongo/ kweli?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Where are the Oysterbay houses. Find out who owns them??????
Waulize wazee wote huko chama kuu who owns what and from where ndiyo utajua tunavyodanganywa walalahoi na vuvusela za campeni kupata kura zetu ili mifuko yao iendelee kujaa!!
 
Mkaguzi Mkuu wa serikali(CAG) ameanika wazi jinsi ambavyo mabilioni ya pesa za CHADEMA yanatafunwa bila huruma na wajanja wachache huku chama kikiendelea kuwa na ofisi Kuu katika kibanda kwenye mtaa wa Ufipa Kinondoni wakati huo huo Mbowe akidai chama hakina pesa za kuwalipa watumishi mikoani na wilayani.

Haya yamebainishwa katika repoti ya ukaguzi ya mwaka wa fedha 2016/2017.

Hii inazidi kudhihirisha kuwa CHADEMA ina wenyewe kwa sababu hakuna kiongozi au mwanachama atakayethubutu kuhoji sana sana watajitokeza wapambe wake kumtetea kwa kutumia hoja za nguvu badala ya nguvu za hoja.

Kwa mtaji huu wa kujichotea pesa bila kuulizwa au kuwajibishwa, Mbowe hawezi kuachia nafasi ya Uenyekiti wa Chama Taifa!

Kinachoshangaza zaidi ni kuwa CCM ya sasa katika ukaguzi huu haina ufisadi kama wa CHADEMA pamoja na kwamba ni chama kikubwa na chenye pesa nyingi na miradi mingi.

Kwa maelezo zaidi nimekuwekea hapa chini sehemu ya uozo ndani ya CHADEMA uliobainishwa na ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya serikali 2016/17.

View attachment 741889
View attachment 741896
View attachment 741901
Zinafikia 1.5Tril??
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom