Wewe ndio hilo genge,1.5 ilishatolewa ufafanuzi hata na CAG mwenyewe1.5 kiiiiimya, haisemwi mnamklia mbowe
Kwa hiyo tusihoji bilioni mbilo alizokwapua sultani mbowe,kisa kuna query trilioni moja na nusu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio hilo genge,1.5 ilishatolewa ufafanuzi hata na CAG mwenyewe1.5 kiiiiimya, haisemwi mnamklia mbowe
Zinafikia 1.5Tril??Mkaguzi Mkuu wa serikali(CAG) ameanika wazi jinsi ambavyo mabilioni ya pesa za CHADEMA yanatafunwa bila huruma na wajanja wachache huku chama kikiendelea kuwa na ofisi Kuu katika kibanda kwenye mtaa wa Ufipa Kinondoni wakati huo huo Mbowe akidai chama hakina pesa za kuwalipa watumishi mikoani na wilayani.
Haya yamebainishwa katika repoti ya ukaguzi ya mwaka wa fedha 2016/2017.
Hii inazidi kudhihirisha kuwa CHADEMA ina wenyewe kwa sababu hakuna kiongozi au mwanachama atakayethubutu kuhoji sana sana watajitokeza wapambe wake kumtetea kwa kutumia hoja za nguvu badala ya nguvu za hoja.
Kwa mtaji huu wa kujichotea pesa bila kuulizwa au kuwajibishwa, Mbowe hawezi kuachia nafasi ya Uenyekiti wa Chama Taifa!
Kinachoshangaza zaidi ni kuwa CCM ya sasa katika ukaguzi huu haina ufisadi kama wa CHADEMA pamoja na kwamba ni chama kikubwa na chenye pesa nyingi na miradi mingi.
Kwa maelezo zaidi nimekuwekea hapa chini sehemu ya uozo ndani ya CHADEMA uliobainishwa na ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya serikali 2016/17.
View attachment 741889
View attachment 741896
View attachment 741901
Nipo Malcom , nilibanwa kidogo ila kwa sasa nipo sana tu 😜Dada umepotelea wapi aisee ???
Pesa imekuwa ikihibwa miaka yote ktk serikali ya ccm lakini hamsemi! Ila hivyo visenti vya CDM vinawatoa roho wanga nyiye.