Pablo
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,441
- 2,541
Binafsi cjaona wapi wamemtaja mbowe. Na mnaosema mbowe kakopesha chama je yeye pekee Ndiyo mwenye uwezo kukopesha chama zaidi ya wengine? Ripoti haijamtaja jina mtu yeyote hivyo msitunge tuu kwa hisia. Pia mkopo haujaonesha riba yake kinachooneshwa ni malipo ya kodi ya mabango n.k. Mashirika ya Umma,Taasisi na Idara za Serikali Siyo Imprest zote zinakuwa retired Kwa hyo Hata Kwa Chadema Pia wanamapungufu hayo. Ijulikane kuwa Matumizi ya CCm kwa mwaka 14/15 ni makubwa na ya ajabu ILa mtoa post ameshindwa kulete full snap shot inayoendelea Inayobainisha Uovu Wa Ccm.