Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,565
Sawa nitakupikia, recipe zote zipo wewe chagua tu unataka pilau la nini.Leo pika pilau basi.niache sh.ngapi
Sawa nitakupikia, recipe zote zipo wewe chagua tu unataka pilau la nini.Leo pika pilau basi.niache sh.ngapi
"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
duuu!!kumbe kuna aina nyingi za pilau mimi najuaga moja tuSawa nitakupikia, recipe zote zipo wewe chagua tu unataka pilau la nini.
Aina ipi unaijua? Ndio zipo za aina nyingi.duuu!!kumbe kuna aina nyingi za pilau mimi najuaga moja tu
Hawa itakuwa ni wale waliozaliwa Aghakan Hospital,akasoma Muhimbili Primary,Jangwani Secondary school form V na VI,Chuo kikuu akasoma UDSM...
Huu uzi umenikumbusha mbali sana, kuna siku moja Mke alimuuliza Mume leo nipike nini? Mume wake akamjibu pika Mapapai
wanayochanganya nyama na viaziAina ipi unaijua? Ndio zipo za aina nyingi.
Hiv wale tunaokula chochote kilichopikwa huwa tunakosea wapi?Kuwaza Cha kupika huwa ni kazi ngumu hata kukiwa na kila kitu, nakumuuliza mume nikujua anapenda nini kipikwe nisije kupika kitu asichokipenda. So kusaidiana mawazo kuhusu msosi ni Jambo zuri na linapunguza mzigo kwa mpigaji na njia rahisi ni kuwa na ratiba ya msosi
Mimi bado sijaoa lakini asije jichanganya kuniuliza hivyo maana;"Bebi Leo tunakula nini?"
Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu.
Sasa kwanini uniulize tunakula nini? Wewe huwezi kujiongeza kweli kufanya assortment ya chakula cha kupika.
tabia mbaya tu, sasa tukadeke wapi jamani...!Mimi kero yangu nyingine pamoja na hiyo ya kuuliza chakula, ni kulala kwenye kochi na kunilalia kila napo ka karibu nae duh, hawezi kuangalia move au tv bila kulalia sofa, inakera arafu huwezi kumkemea atasema hooo! you ur not romantic, wanaumme hampendeki nk..........inekera sana plz wake zetu regulate your habits plz
Raha ya chakula ufanyiwe assortment na mke! Tatizo wake zetu wengi sio wabunifu nakumbuka marehem mama alikuwaga na cook books kabisa yani na alikuwa na hobby ya kupika basi anajipikilisha wee! Sasa kutana na hivi vizazi vya chips kuku yani wao nje ya wali, ugali na pilau hana anachojua😅kweli aliyesema binadamu hatuna chema hakukosea kabisa. Sasa mkuu kuna ubaya gani kuulizwa hivyo aisee. Si unamjibu tu unachojisikia kula siku hiyo kaka. Tena kakuuliza kimahaba kabisa aisee.
Laiti ungejua kiasi cha raia kisichoulizwa hayo maswali na wanaombea kiasi gani waulizwe!
Hamna wala sio ulalamishi! Ni uvivu wake wa kufikiri tu mie hata akipika mavi ntakula tu sababu ndio chakula chetu cha siku hio!Moyo usio na shukrani unachukia kila kitu, kama unakereka mjulishe kwamba mke wangu we unachokitaka tule siku hiyo ndio upike me nitakipenda tu, maana wenyewe hapo mara nyingine mnakuja kusema wake hawajiongezi, kumbe anapokuuliza maana yake mkeo kajinyima ili ale we unachokipenda, machaguo yake kayaweka pembeni, halafu unatuambia swali hili hulipendi, inaonyesha ume mu underestimate mkeo kwa mengi sana, acha huo utoto. Kama hajapika kwa wakati anakusubiri that means wewe ni mlalamishi huna mwelekeo kwamba huwa unapenda nn kula
Sasa wangu mi hapendi kabisaa ugali anapenda tuu ndizi za kwao Marangu. So mkipika ugali na ndizi zake ziwepo.Hakuna kitu kigumu kama kuwaza una pika nini aisee ni kazi ngumuu