Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Yesu aliposhuka kuzimu alichukua muda wa siku ngapi kuwahubili watu waliokuwa huko kuzimu???Ujio wa Yesu na kazi Ya msalaba inajibu swali hilo kwamba na wao wanafika mbinguni kwani roho ya yesu ilishuka kuzimu na huko ilifanya kazi tatu,mosi kuwahubilia walioko kule yaani waliokufa toka wa kwanza mpaka yule aliyekufa pamoja naye,pili kunyang'a mamlaka ya shetani ambaye alimiliki roho hizo na tatu ni kuuwa kifo kwa kuwaunganisha na mbingu kwa wao kwenda na yesu Mbinguni