Hivi na hawa hawaendi mbinguni?

Hivi na hawa hawaendi mbinguni?

Mataifa yaliyo tuletea dini ndio yako mstari wa mbele kwenye vita ya wao kwa wao hawa jamaa wa taifa teule ni wakorof sana
Kuna mda tufike atua tujitambue kama waliotuletea dini wana misunderstanding wenyewe kwa wenyewe wakat wao walitufundisha amani na upendo na ukikikua ni dhambi halafu wao wanayafanya bila wasi wasi
 
Mataifa yaliyo tuletea dini ndio yako mstari wa mbele kwenye vita ya wao kwa wao hawa jamaa wa taifa teule ni wakorof sana
Kuna mda tufike atua tujitambue kama waliotuletea dini wana misunderstanding wenyewe kwa wenyewe wakat wao walitufundisha amani na upendo na ukikikua ni dhambi halafu wao wanayafanya bila wasi wasi
Kina nani hao teule mkuu...
 
ASANTE
Kwa hiyo baada ya maisha tunaenda wapi kwa unavyofahamu?
Maelezo yake ni marefu sana lakini nitakujibu kwa kifupi;... iko hivi baada ya kufa utafufuliwa hapa hapa duniani na kuhukumiwa hapa hapa. Baada ya hukumu, kama utakuwa hauna hatia utaanza maisha mengine mapya hapa hapa duniani, na kama ukikutwa na hatia utatupwa katika moto utakaokuwa ukiwaka hapa hapa duniani.

Maana yake ni kwamba Paradiso na Jehanamu havipo kwa sasa hivi, lakini ipo siku zitakuwepo, nazo zitakuwepo hapa hapa duniani. Tena baada ya hukumu yote kufanyika, MUNGU mwenyewe atashuka duniani na kuishi na wanadamu wasiokuwa na hatia hapa hapa duniani.
 
Mtume Paulo aliwaandikia Warumi kuwa "Pasipo sheria hakuna dhambi"
wale wazee wetu hawakuijua sheria ya Mungu wetu/wako hivyo hawakutenda kosa,ila kumbuka Mungu anafanya kama apendavyo sio ajabu sisi tulioshika dini tukapigwa moto halafu wazee wetu wakaachwa au ikawa viseversa
 
Maelezo yake ni marefu sana lakini nitakujibu kwa kifupi;... iko hivi baada ya kufa utafufuliwa hapa hapa duniani na kuhukumiwa hapa hapa. Baada ya hukumu, kama utakuwa hauna hatia utaanza maisha mengine mapya hapa hapa duniani, na kama ukikutwa na hatia utatupwa katika moto utakaokuwa ukiwaka hapa hapa duniani.

Maana yake ni kwamba Paradiso na Jehanamu havipo kwa sasa hivi, lakini ipo siku zitakuwepo, nazo zitakuwepo hapa hapa duniani. Tena baada ya hukumu yote kufanyika, MUNGU mwenyewe atashuka duniani na kuishi na wanadamu wasiokuwa na hatia hapa hapa duniani.
Asante
 
Maelezo yake ni marefu sana lakini nitakujibu kwa kifupi;... iko hivi baada ya kufa utafufuliwa hapa hapa duniani na kuhukumiwa hapa hapa. Baada ya hukumu, kama utakuwa hauna hatia utaanza maisha mengine mapya hapa hapa duniani, na kama ukikutwa na hatia utatupwa katika moto utakaokuwa ukiwaka hapa hapa duniani.

Maana yake ni kwamba Paradiso na Jehanamu havipo kwa sasa hivi, lakini ipo siku zitakuwepo, nazo zitakuwepo hapa hapa duniani. Tena baada ya hukumu yote kufanyika, MUNGU mwenyewe atashuka duniani na kuishi na wanadamu wasiokuwa na hatia hapa hapa duniani.

Kwa kifupi zaidi, sisi ni wahapahapa 😀
 
Maelezo yake ni marefu sana lakini nitakujibu kwa kifupi;... iko hivi baada ya kufa utafufuliwa hapa hapa duniani na kuhukumiwa hapa hapa. Baada ya hukumu, kama utakuwa hauna hatia utaanza maisha mengine mapya hapa hapa duniani, na kama ukikutwa na hatia utatupwa katika moto utakaokuwa ukiwaka hapa hapa duniani.

Maana yake ni kwamba Paradiso na Jehanamu havipo kwa sasa hivi, lakini ipo siku zitakuwepo, nazo zitakuwepo hapa hapa duniani. Tena baada ya hukumu yote kufanyika, MUNGU mwenyewe atashuka duniani na kuishi na wanadamu wasiokuwa na hatia hapa hapa duniani.

On a serious note, haya uliosema ni alfu lela ulela, esopo.. hamna mwenye uhakika itakuaje.
 
Fikra kuwa utumwani ni pale kama hazifanyi yale yaliyokusudiwa kamwe dini haijawahi kuweka fikra utumwani
 
Kipindi kile cha ujinga Mungu alijifanya haoni
 
Ni kwa muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza hivi mababu zetu waliokuwepo kabla ya dini zetu kuu yaani ukristo na uislamu haujaingia nchini wataenda mbinguni?
Maana kwa asilimia kubwa walikuwa wanafanya matendo ambayo dini zetu zinazuia mathalani...kutoa kafara kwa miungu, kuuana kwa kigezo cha mila na desturi nakadhalika.

Ukiangalia vigezo vingi vya mtu kuwa msafi wa kiimani mengi hawakuyafanya mababu zetu.

Kwa watu wanaojua vizuri mafundisho ya dini naombeni msaada katika hili maana mimi Nebuchadinezzer sina ujuzi katika hili.

ASANTENI.

watakuja kukwambia wao wana utaratibu wao wa kuadhibiwa.
 
Kuongelea watu Na wewe huendi mbinguni.
 
Asante mkuu kwa maelezo mazuri...labda niongeze swali je siku hizi manabii wapo?
manabii wapo ila katika mfumo mwingine,ndiohao wanaojulikana kama mitume jina liloanza kutumika kipindi cha Yesu Kristo,wainjilisiti na wachungaji.
 
Fikra kuwa utumwani ni pale kama hazifanyi yale yaliyokusudiwa kamwe dini haijawahi kuweka fikra utumwani
Nieleze basi, dini ni nini? Pengine tunajadili kitu ambacho hatukijui, tuanzie hapo.Na pia unaweza kutueleza ni kwa kiwango gani mwarabu na mzungu walitumia mistari feki na hewa toka kwenye 'Kurani' na 'bibilia' ili kuwamfanya mtu mweusi mtumwa wa fikra/akili kiasi cha kujidharaulisha na kujifukarisha mbele ya mtu mweupe? Eg. " Ni rahisi kwa ngamia kupenya tundu la sindano kuliko tajiri kuingia mbinguni".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom