East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 995
Religion is the opium of people
Mkuu nataka kujua vigezo ambavyo vitatumika siku ya kiama kwa mababu zetu ambao walikuwepo kabla kuja kwa hizi dini tulizonazo kwa sasa maana asilimia kubwa mababu zetu walifanya vitu ambavyo ni haramu kwa dini zetu.