Hivi na hawa hawaendi mbinguni?

Hivi na hawa hawaendi mbinguni?

Religion is the opium of people
Mkuu nataka kujua vigezo ambavyo vitatumika siku ya kiama kwa mababu zetu ambao walikuwepo kabla kuja kwa hizi dini tulizonazo kwa sasa maana asilimia kubwa mababu zetu walifanya vitu ambavyo ni haramu kwa dini zetu.
 
Ukiangalia watu ktk Agano LA Kale walivyoishi ni kama mababu zetu kabisa. Wafalme walioa wake wengi, mahawara kibao,kinywaji kwa kwenda mbele ,ngoma na sherehe kibao na Mungu aliwapenda na kuwabariki though waliua na kuwanyanganya wenzao wake zao hivyo hata mababu zetu watahukumiwa kama hao kina Suleiman, Daudi ambao waliishi kabla ya Yesu kuja.Watahukumiwa kwa kuzingatia miongozo ya jamii yao ya wakati huo
 
Ukiangalia watu ktk Agano LA Kale walivyoishi ni kama mababu zetu kabisa. Wafalme walioa wake wengi, mahawara kibao,kinywaji kwa kwenda mbele ,ngoma na sherehe kibao na Mungu aliwapenda na kuwabariki though waliua na kuwanyanganya wenzao wake zao hivyo hata mababu zetu watahukumiwa kama hao kina Suleiman, Daudi ambao waliishi kabla ya Yesu kuja.Watahukumiwa kwa kuzingatia miongozo ya jamii yao ya wakati huo
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
 
12 Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria.
Warumi 2:12

13 Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.
Warumi 2:13

14 Kwa maana watu wa Mataifa wasio na sheria wafanyapo kwa tabia zao yaliyo ndani ya torati, hao wasio na sheria wamekuwa sheria kwa nafsi zao wenyewe.
Warumi 2:14

15 Hao waionyesha kazi ya torati iliyoandikwa mioyoni mwao, dhamiri yao ikiwashuhudia, na mawazo yao, yenyewe kwa yenyewe, yakiwashitaki au kuwatetea;
Warumi 2:15
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom