Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,839
- 7,502
Kwa mfano baba au mama anataka kutoka na mtoto mmoja katiks familia kwa ajili ya maongezi maalumu yanayomhusu huyu mtoto. Akaamua kuwa leo fulani tutaenda kutembelea chuo kikuu DSM nyie wengine bakini na mama au baba mama wakatoka na huyo mtoto mlengwa na kuwaacha hawa wengine na house girl itakuwa ni makosa?