Elimu ya Darasa la Tano ya Kutambua Jiji, Mji, Manispaa etc inakushinda halafu unajifanya mwanachuo.. fikiria kabla ya kutoa thread... kwa akili yako ungekuwa unafikiria wala usingejiunga na JF na kama ulivyojiunga basi ubaki kusoma comments na thread za GTs tu.
Ooh nataka niende movie theatre ..pumbavu umeambiwa mwanza ni holly wood
Ishu siyo geographia na demographics na population etc, ishu ni kwamba sioni kama nipo kwenye modern , urbanised city! bora mara mia Arusha. Yani naona kama nipo nje kabisa disconnected na dunia. Hovyo kabisa. watu hawana ile ata urban taste. Dissapointing.
Elimu ya Darasa la Tano ya Kutambua Jiji, Mji, Manispaa etc inakushinda halafu unajifanya mwanachuo.. fikiria kabla ya kutoa thread... kwa akili yako ungekuwa unafikiria wala usingejiunga na JF na kama ulivyojiunga basi ubaki kusoma comments na thread za GTs tu.
We dopeboy bin mabangi
Ungeuliza kwanza Mbeya kwanini inaitwa jiji.
Mwanza mpango mwingine kabisaa
kwamba mwanza na tandahimba the same ?Sasa kuna tofauti gani na tandahimba ?
Huu mji mkubwa mbona unaniangusha sana? Mbona hauna hadhi kama Dar au Arusha?<br><br>Juzi nikiwa hapa kikazi, nikapata mail nimekuwa admitted kwenye chuo fulani hivi , ambapo walikuwa wanaitaji nifanye mtihani wa kuangalia proficiency yangu ya kiingereza, IELTS. Kwakuwa nimebanwa, nikajua mwanza nalo jiji nikaingia online, naona centers ni Dar na Arusha tu. duh!<br><br>Basi nikaona sitaweza, nikaamua nikapumzike basi ata movie theatre, holla, nikauliza hata ka Nakumatt mwanza hamna? Very dissapointed na hiki kijiji. Hivi mnaliita jiji kwa maana gani lakini? arghh mbona arusha mji mdogo lakini upo very international mnamatatizo gani nyie mangosha?
hivi dar na majisifu yote unayoisifu ina movie theater ngapi?
hivi dar na majisifu yote unayoisifu ina movie theater ngapi?
Kelele wewe... dar inafananishwa na paris dubai kuala lampur sao paulo jeddah tokyo etc...
Mwanza haina tofauti na tosamaganga
Kamata Ngosha mmoja then peleka Arusha walau wiki tu usikie atasema nini...
Kelele wewe... dar inafananishwa na paris dubai kuala lampur sao paulo jeddah tokyo etc..
Mwanza haina tofauti na tosamaganga