Hivi mwanaume unaanzaje kuandika "jomoni"..!??

Hivi mwanaume unaanzaje kuandika "jomoni"..!??

Ilo neno limezuka sikuiz na wanaoandka ni akinadada "jomoni" wakimanisha "jamani" kutokana na kudekadeka kibebi bebi uwanawaelewa.

Sasa awap*mb*/me wengine wanapolitumia apo ndio uwasiwaelewi wanataka nini..nisawa neno ilipia "mie" nicheke mie..., kwa ME haifai
 
ha ha ha. lihalarishwe tu kama makinikia na wale wa babu wa bakita
 
Akili yako inaitaj tuition...[emoji23][emoji23]kama auna cha kuandka acha ina onesha ni jinsi gani bado una akili za kibashite umu wote tumekua [emoji23]sasa si ilo neno linatuhusu nini au nayo ni Breaking news [emoji41][emoji41]ivi report ya makenikia iliishia wapi
 
😀😀😀😀
Bora umelisema, kwale wavulana wenye tabia za kina kaoge wajirekebishe,
Wanawake waliumbwa na mapungufu mengi ivo kuiga wasivovijua ni kawaida yao,
Ila kwa wanaume inatia ukakasi kidogo.
 
Ifike mahala wanaume mjitathmini.. Hasa wenye tabia ya kukopi kila neno la kijinga linalozuka kwenye mitandao.
Kuna hili neno "Jomoni"...
Nililiona mara ya kwanza huko insta ..nikajua ni ujinga wa huko tu . Wala sikutaka kujua lilipotoka..mara ya kwanza nilijua ni typing error. Ghafla likafika hapa JF baadhi ya wadada wakaanza kulitumia.

Inasikitisha sana kwakweli na ME wameanza kulitumia neno hili... Hii ni dalili ya upunga kabisa..

ACHENI HARAKA...
Ahsanteni.
Jomoni kwani kuna ubaya gani.? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
wanaume wa mkoani hao. eti wanamuiga mange kusema jomoni.
mwanaume kujibu K kwenye sms au P.
mwanaume kuandika x badala ya S (Xaxa nimekuxoma xio xawa kabixa)
 
hahahhaha ukweli hata mie linanikereketa sana yes wanawake wanalitumia mnoo !na mm humu kuna wadada wanaliandikaga heheh mie silipend aisee !yeah bora aandike she aisee !hahaha eti LIVE TBC1 !
Jomoniiiiii
 
Ifike mahala wanaume mjitathmini.. Hasa wenye tabia ya kukopi kila neno la kijinga linalozuka kwenye mitandao.
Kuna hili neno "Jomoni"...
Nililiona mara ya kwanza huko insta ..nikajua ni ujinga wa huko tu . Wala sikutaka kujua lilipotoka..mara ya kwanza nilijua ni typing error. Ghafla likafika hapa JF baadhi ya wadada wakaanza kulitumia.

Inasikitisha sana kwakweli na ME wameanza kulitumia neno hili... Hii ni dalili ya upunga kabisa..

ACHENI HARAKA...
Ahsanteni.

Walianza na sasa-xaxa, wakaja la LOL sasa wamekuja na JOMONIII
 
Mtu akiniandikia meseji akaandika hilo neno(la kijinga) simjibu na naweza mblock awe na bahati tu...silipendi na lina kera sana sijui kwanini watu wanalitumia,yaani ni neno la kipuuzi kabisa natamani kumchapa kibao kikali mtu atumiae hilo neno,,akiwa mwanaume namuambia laivu kabisa AACHA UPUNGA
 
Ukiona mwanaume anaandika maneno jomoni,mxiuu ...ujue anabanduliwa tu
 
Back
Top Bottom