Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,348
Ukiwa na hela huwezi pondwa utaambiwa mnaendana
#Diamond mbona hamkuponda jamani kwa Zari?
Ukiwa kajamba nani utaambiwa acha kuoa wazee .
Pesa pesa kuna utulivu ,heshima, na kujaliana
Pesa umasikini kuna fitna ,majungu,uchawi ,visirani,unoko, unaa,na kedekede