Nyerere - Mwinyi- Mkapa - Kikwete is my reference, au labda mwenzetu ulihudhulia uzinduzi wa mbuga, to my notice Kikwete alihusika kuanzisha Saadani nk likewise Mkapa bila kumuongelea Mwalimu sijawahi kuwaona wanazindua.Mmmmmh labda kwako, tembeeni mjionee dunia inavyoenda
Especially kwa attention seekers, ni kweli!! Au all politician ni attention seekers??Watu wanazindua hadi sanamu sembuse na mbuga. By the way he is doing something unique sio lazima ukopi.
Serengeti ilizinduliwa lini?Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.
Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.
Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Nimecheka sana hapo kwenye nyekundu 😂 😂.Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Kusema ukweli kabisa hawa wanyama wanatushangaa.And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Aisee!!! Kama mawazo ya kijinga kama hayo ndiyo vijana tunawaza bora muendelee kutekwa na musionekane tena, yaani unashindwa kujiongeza mkuu???Nyerere - Mwinyi- Mkapa - Kikwete is my reference, au labda mwenzetu ulihudhulia uzinduzi wa mbuga, to my notice Kikwete alihusika kuanzisha Saadani nk likewise Mkapa bila kumuongelea Mwalimu sijawahi kuwaona wanazindua.
Au mwenzetu uko makini zaidi uliwaona wakizindua, I think they weren't attention seekers!!
Hapana, lakini kama tunaweza kuzindua kisima cha maji au mkoa, kwa nini sio mbuga.Nyerere - Mwinyi- Mkapa - Kikwete is my reference, au labda mwenzetu ulihudhulia uzinduzi wa mbuga, to my notice Kikwete alihusika kuanzisha Saadani nk likewise Mkapa bila kumuongelea Mwalimu sijawahi kuwaona wanazindua.
Au mwenzetu uko makini zaidi uliwaona wakizindua, I think they weren't attention seekers!!
Huyo Simba akifanikiwa hilo ataandikwa katika historia na kuwa shujaa wa muda wote pia atachongewa sanamu kabisa.Subirini Simba afyatuke huko aliko aondoke na ama Kalio au Kolomero la Mkemia ndipo mtajua Wanyama huwa hawatanii Mbugani.
"Tumekabidhi nchi kwa washamba"-Zitto Zuberi Kabwe.Natatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Ewaaaa wewe umejua kufaulu vizuri kabisaMagufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?
Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....
Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
Watalii wanatafutwa kwa kupitia TBC, Wewe ndio mjinga zaidi ya wooteee! Au watalii wa ndani? Wewe kichekesho kweli kweli! Ndio maana hatuendelei kama watu design yako wakiwa viongozi na charisma 0%Aisee!!! Kama mawazo ya kijinga kama hayo ndiyo vijana tunawaza bora muendelee kutekwa na musionekane tena, yaani unashindwa kujiongeza mkuu???
Sasa hivi kuna ushindani mkubwa sana kwenye sector ya utalii duniani kila nchi inatafuta mbinu zake kuwavutia watalii, Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia mojawapo ya kuitangaza ile mbuga....
Mlima Kilimanjaro ni wa kuhamisha, Haupo sehemu sahihi kijiografia hata kiutawala.Magufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?
Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....
Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
Anajipeleka puta mwenyewe angalia kina Malicky Sarr wa Senegal wala hawana mbwembwe na nchi inasonga mbeleJpm anawaleleka puta sana hadi mnashindwa muandike nini
Ficha ujinga wakoMagufuli kuzindua ile mbuga ni njia moja wapo ya kuipromote ile mbuga, nenda kaangalie tangia walivyo tangaza kuizindua ni watalii wangapi wamesha enda kutembelea ile mbuga?
Halafu kama siyo kuitangaza kuwa Rais anaenda kuizindua wala nisingejua kama kuna mbuga inayo itwa Burigi... Ilitumika mbinu kidogo tu kuwavutia watalii....
Hii njia aliyo itumia rais natamani angepanda Mlima Kilimanjaro na vivutio vingine vya kitalii ili watalii wamiminike nchi
Sawa sisi watoto hatujui hebu tuambie Mbuga ya Serengeti ilizinduliwa lini na nani aliizindua.Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.
Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.
Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.