DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,010
- 45,524
Nimejaribu kufatilia vijana Kutoka CCM na wazee nimehitimisha kuwa hiki chama kinapendwa na watu wengi wasiojitambua.
Hapa nazungumzia wafuasi wake na sio Viongozi Maana ili Mtu upate uongozi Unaweza weza kuingia Ccm kimkakati ukapata cheo na usiwe mfuasi wa ccm
Hii nchi inahitaji Miaka 100 ili kukombolewa kifikra.
Hapa nazungumzia wafuasi wake na sio Viongozi Maana ili Mtu upate uongozi Unaweza weza kuingia Ccm kimkakati ukapata cheo na usiwe mfuasi wa ccm
Hii nchi inahitaji Miaka 100 ili kukombolewa kifikra.