Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,687
- 3,406
1 hakuna maisha baada ya kufa
2 ukifa mifumo yako yote ina stop kufanya kazi
3 utaanza anza ku decompose
4 huo ndio mwisho wako milele
hivyo furahia maisha yako yaliyobaki hakunamaisha mengine.
Avator yako na maelezo yako ya mwisho vimefanana sana!!!